Tengeneza Njia
Senior Member
- Jul 29, 2022
- 121
- 205
Wakati bado waziri wetu wa fedha anaendelea kutapa tapa kwa vigugumizi akielezea mambo ambayo naamini hata yeye mwenyewe moyoni mwake anajua anatekeleza wajibu tu na si ukweli, tunaambiwa ni namna ya watu wengi, wananchi washiriki kwenye kuchangia SOLIDARITY FUND! - hebu nisaidieni ufafanuzi wa huu urojo?
Waziri anasema nchi ina miradi mikubwa na majukumu yameongezeka ya miradi mikubwa kama
bwawa la mwl.nyerere, reli, barabara za mikoa kwa mikoa, elimu, mikopo, elimu bure, afya,usambazaji wa umeme vijijini ndio maana imebidi wanyonye watanzania wanyonge ili pesa za miradi zipatikane.
Anasema, bila tozo maisha yao watoto wanyonge yasingeenda. Sidhani kama alichosema Mh. Mwigulu kina make any sense, sadly! unatambua tozo inaumiza ila tuendelee tu kuivumilia.
mnaumiza wananchi, gharama za maisha zimepanda (ninyi viongozi na familia zenu ham-experience haya) unatetea kuwa poleni wananchi endeleeni tu kutaabika kwa sababu hakuna namna nyingine ya kukusanya mapato zaidi ya kuwapokonya pesa ambazo tayari mnazo mifukoni kwenu!
Mishahara yenu mmeshaangalia namna inachangia umaskini wa watanzania wengi? Magari yenu? mikopo mliyokuwa mnasupport mnamwambia mama achukue - enzi za ndungai imefanya nini? Hamsemehi haya mambo mnatapa tapa tu na kudanganya umma!
Nyumbani Baba na Mama wakitaka kuanza miradi mipya ya familia (kufungua biashara ya familia, kununua gari n.k.) wazazi wanawapokonya watoto wao pesa walizonazo/ ambazo wanastahili kuwa nazo na kupunguza kuwahudumia na kuwapa haki zao kama watoto? - huu ni mfano mdogo tu! ipo mingi.
Waziri anasema nchi ina miradi mikubwa na majukumu yameongezeka ya miradi mikubwa kama
bwawa la mwl.nyerere, reli, barabara za mikoa kwa mikoa, elimu, mikopo, elimu bure, afya,usambazaji wa umeme vijijini ndio maana imebidi wanyonye watanzania wanyonge ili pesa za miradi zipatikane.
Anasema, bila tozo maisha yao watoto wanyonge yasingeenda. Sidhani kama alichosema Mh. Mwigulu kina make any sense, sadly! unatambua tozo inaumiza ila tuendelee tu kuivumilia.
mnaumiza wananchi, gharama za maisha zimepanda (ninyi viongozi na familia zenu ham-experience haya) unatetea kuwa poleni wananchi endeleeni tu kutaabika kwa sababu hakuna namna nyingine ya kukusanya mapato zaidi ya kuwapokonya pesa ambazo tayari mnazo mifukoni kwenu!
Mishahara yenu mmeshaangalia namna inachangia umaskini wa watanzania wengi? Magari yenu? mikopo mliyokuwa mnasupport mnamwambia mama achukue - enzi za ndungai imefanya nini? Hamsemehi haya mambo mnatapa tapa tu na kudanganya umma!
Nyumbani Baba na Mama wakitaka kuanza miradi mipya ya familia (kufungua biashara ya familia, kununua gari n.k.) wazazi wanawapokonya watoto wao pesa walizonazo/ ambazo wanastahili kuwa nazo na kupunguza kuwahudumia na kuwapa haki zao kama watoto? - huu ni mfano mdogo tu! ipo mingi.