Ufafanuzi: Je, kuna Majimbo yatashindwa kujiendesha kwenye mfumo wa Majimbo?

Ufafanuzi: Je, kuna Majimbo yatashindwa kujiendesha kwenye mfumo wa Majimbo?

Huu mgawanyo wa majimbo umeutoa wapi? Kagera itoe huko ulikoipeleka! Mwanza pia itoe huko, Mara pia itoe huko ulikoipeleka! Tuanzie hapo kwanza!
 
Huu mgawanyo wa majimbo umeutoa wapi? Kagera itoe huko ulikoipeleka! Mwanza pia itoe huko, Mara pia itoe huko ulikoipeleka! Tuanzie hapo kwanza!
Kwani kuna shida yeyote??? Chochote kinawezekana. Mgawanyo wa kirasilimali unaweza kuamua mwishoni. Hakuna shida yeyote! Mie nimeweka mfano tu!
 
Tazama vipindi vya tv za China utaona wanavyosisitiza katika umoja. Tazama vikao vyao kila mwaka vinavyoongozwa na rais wao utaelewa maana ya umoja.
Labda kama sielewi lakini huko uchina wana serikali za majimbo na serikali kuu.
 
Nilifikiri unapinga majimbo. Siku nyingine andika summary ili ueleweke vizuri. Usipoeleweka, inapelekea kumpinga mtu ambaye actually unakubaliana naye. Mipaka ya majimbo itakatwa wakati ukifika. Siyo lazima ifuate mikoa na wilaya zilizopo sasa.

Halafu ni muhimu kuweka declarative heading ya post. Badala ya swali, andika hivi: Ufafanuzi: Katika mfumo wa majimbo, hakuna jimbo litashindwa kujiendesha.
Hujaelewa hoja yangu!! Hapa ninajibu hoja za wana CCM kuwa sera ya majimbo haitafanikiwa kwa sababu Kuna majimbo yatashindwa kujiendesha???

Alafu kuna issue yeyote juu la suala la mpaka??? Kwani tukiamua sasa tukitengeneza sheria na kutambua utawala wa majimbo na kusema mikoa hii itakuwa jimbo hili, mikoa hii jimbo hili kuna tatizo lolote????
 
Samahan,nataka kujua kidogo mfano timu za mpra kutoka katika ayo majimbo zitaendelea kuitwa kama sasa iv mfano mbeya city au zitabadil majina ,na je ktk ayo majimbo iyo mikoa itabak na majina yake ivyo ivyo
 
Kwamba udzungwa national park iko morogoro? Hifadhi ya rungwe ndo ipi hiyo?
 
Nilifikiri unapinga majimbo. Siku nyingine andika summary ili ueleweke vizuri. Usipoeleweka, inapelekea kumpinga mtu ambaye actually unakubaliana naye. Mipaka ya majimbo itakatwa wakati ukifika. Siyo lazima ifuate mikoa na wilaya zilizopo sasa.

Halafu ni muhimu kuweka declarative heading ya post. Badala ya swali, andika hivi: Ufafanuzi: Katika mfumo wa majimbo, hakuna jimbo litashindwa kujiendesha.
Mkuu, Mbona kichwa cha habari kinajielezea vizuri tu!! Sema hukuelewa ndugu yangu!
 
Kwani kuna shida yeyote??? Chochote kinawezekana. Mgawanyo wa kirasilimali unaweza kuamua mwishoni. Hakuna shida yeyote! Mie nimeweka mfano tu!
Huwezi kuweka mfano wakati majimbo tayari yalishagawanywa!
 
Ina
Samahan,nataka kujua kidogo mfano timu za mpra kutoka katika ayo majimbo zitaendelea kuitwa kama sasa iv mfano mbeya city au zitabadil majina ,na je ktk ayo majimbo iyo mikoa itabak na majina yake ivyo ivyo
Inategemea ndugu, hata Marekani timu ya Basketball ya Seattle Sanders ilibadirisha jina na kuitwa Oklahoma City Thunder, hakuna Tatizo lolote
 
Wacha ubishi wa Kitindiga wewe!
Wewe nijibu basi, kama yalishagawanywa ndo hayawezi kubadirishwa?? Alafu Kim Ila huu ni mchakato ambao hata Chadema watawahusisha wananchi kwanza na hawatojiamulia tu!
 
Wewe nijibu basi, kama yalishagawanywa ndo hayawezi kubadirishwa?? Alafu Kim Ila huu ni mchakato ambao hata Chadema watawahusisha wananchi kwanza na hawatojiamulia tu!
Hayawezi, huwezi kuichukua Mara uipeleke ikaungane na Kilimanjaro wakati Simiyu iko pua na mdomo! Huwezi kuichukua Kagera ikaungane na Rukwa wakati Geita iko pua na mdomo!
 
Kwani kuna shida gani hapa kwetu??? Majimbo ya kinigeria yanakaliwa ana kabila moja tu na hii ni misingi ya divide and rule ya waingereza. Majimbo yetu yatakuwa na makabila tofauti tena jimbo moja hadi makabila 4 au 5 sasa shida iko wapi????

Alafu kumbuka mfumo wa utawala wa majimbo unaopendekezwa na Chadema hauendi kwenye misingi ya Mila desturi au makabila Kama kurudisha uchief. WAO wanamaanisha mfumo wa kiutawala na wa kiuchumi. Sasa hoja yako hapa haina mashiko
Huwajui wanasiasa haswa wanapopata uhakika wa vyeo namna wanavyogeuka misingi inayowapa nafasi hizo.

Ni ngumu sana kuwa na majimbo pasipo kujitambulisha kikanda na kimikoa.

Sera hii imejengwa katika wazo la rasilimali lakini upo udhaifu wa kikanda kwa maana ya uongozi wakati wa usimamiaji na utoaji wa dira za kanda.

Mtanzania leo anatoka Rukwa na kwenda kuishi Mwanza mwingine anatoka Kagera na kwenda kuishi Mtwara hapo ni lazima uguse asili yake ukianza kuigawa nchi kimajimbo.
 
Labda kama sielewi lakini huko uchina wana serikali za majimbo na serikali kuu.
Asili na misingi ya serikali hizo hapa kwetu ni ngumu kufanya kazi.

Nyerere alikopi ujamaa kutoka huko huko China, lakini ni yeye aliyekuja kukiri kwamba alichemka katika huko kuiga kwake.
 
Hayawezi, huwezi kuichukua Mara uipeleke ikaungane na Kilimanjaro wakati Simiyu iko pua na mdomo! Huwezi kuichukua Kagera ikaungane na Rukwa wakati Geita iko pua na mdomo!
Mzee Mbona una hasira sana??? Kwani shida iko wapi??? Mara haijapakana na Arusha??? Kigoma haijapakana na Kagera???

Nimeshasema hayo ni maelezo yanayoweza kuchukuliwa kama proposal tu. Sio msaafu

Embu tazama ramani ya Tanzania hapo chini
3A70C8F4-1E62-481C-9EA2-C8870AD57FCC.jpeg
 
Asili na misingi ya serikali hizo hapa kwetu ni ngumu kufanya kazi.

Nyerere alikopi ujamaa kutoka huko huko China, lakini ni yeye aliyekuja kukiri kwamba alichemka katika huko kuiga kwake.
Alikiri wapi na lini? Tupe ushahidi
 
Huwajui wanasiasa haswa wanapopata uhakika wa vyeo namna wanavyogeuka misingi inayowapa nafasi hizo.

Ni ngumu sana kuwa na majimbo pasipo kujitambulisha kikanda na kimikoa.

Sera hii imejengwa katika wazo la rasilimali lakini upo udhaifu wa kikanda kwa maana ya uongozi wakati wa usimamiaji na utoaji wa dira za kanda.

Mtanzania leo anatoka Rukwa na kwenda kuishi Mwanza mwingine anatoka Kagera na kwenda kuishi Mtwara hapo ni lazima uguse asili yake ukianza kuigawa nchi kimajimbo.
Acha kupiga ramli. Wewe waongelee watu wako wa Ccm mliotawala hii nchi kwa miaka karibu 60 ila hadi sasa ujinga, maradhi na umasikini vimekuwa changamoto. Sie tuache tuwaongelee chadema ambao hawajawai kuiongoza hii nchi
 
NaAWAKUMBUSHA TU WAKUU.

Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (NCHI MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
MIAKA 60 YA UHURU.

CCM imetufikisha hapa
Kwahiyo zaidi ya 95% ya nchi duniani ziko uchumi wa kati
 
Back
Top Bottom