kasuku mtu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 321
- 94
Asalamu waleykumu waungwana!poleni kwa majukumu waungwana.....
Kuna mtu kanijia juzi anadai yeye ni hiv+ na boy friend wake ni hiv- sasa yeye anahitaji mtoto na mtoto wake asiwe na virusi vya ukimwi ni njia gani zitafanikisha hili kwa kuzuia maambukizi kwa baba mtarajiwa na mtoto watake mzaa?
Madocta tupeni majibu basi yaliyekwenda shule na sisi tuwape elimu ndugu zetu.
Aksanteni
Kuna mtu kanijia juzi anadai yeye ni hiv+ na boy friend wake ni hiv- sasa yeye anahitaji mtoto na mtoto wake asiwe na virusi vya ukimwi ni njia gani zitafanikisha hili kwa kuzuia maambukizi kwa baba mtarajiwa na mtoto watake mzaa?
Madocta tupeni majibu basi yaliyekwenda shule na sisi tuwape elimu ndugu zetu.
Aksanteni