wanagawana iringa yetu matajiri wa nchi hii , Uhuru wa 61 ni unyonyaji wa kutisha! Harakati za mkwawa bado ni kiza! one day tutakuwa huru
Malila amesema hilo jamaa ni jambarika so tek kea bibie
Kuna mwingine juzi juzi hapa kajitokeza TBC, kasema vitu vya ajabu kabisa, hata waliorusha kipindi kile sijui hawakufanya utafiti au ndio hivyo tena.
Bei alizotaja yule dogo ni wizi mtupu.
Nimeshatishika, kidogo nifanye mamuzi, ngoja nione mpango wa kwenda study mwenyewe Mafinga.
mkuu nna shamba kule mzenga ni udongo wa mfinyanzi mweusi vipi unafaa kwa kilimo cha miti
Ndio, Mzenga napafahamu mpaka kule Mafizi, tatizo mvua za kule ni magumashi sana, mitiki inamea vizuri sana mitaa ya Mzenga, tatizo mvua. Pia Mlonge unakubali sana kule. Au ukiweza nenda bonde la Mwanamsekwa,mitiki inakubali sana.
Miaka 5 ijayo wazawa watakosa hata maeneo ya kulima migogoro ya ardhi itaibuka
kuna kijiji flan cha gwata kipo pembezon mwa mto ruvu huko je unakijua
Unasema Mwanamsekwa, au Nyani au Mafizi?