TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,095
wanagawana iringa yetu matajiri wa nchi hii , Uhuru wa 61 ni unyonyaji wa kutisha! Harakati za mkwawa bado ni kiza! one day tutakuwa huru
Miaka 5 ijayo wazawa watakosa hata maeneo ya kulima migogoro ya ardhi itaibuka