Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

Next time zitaanza kuunguzwa hizo gari wawe makini sana watu wamechafukwa wakiona vipi vipi yanaanza kutafutwa maandazi ya Mungu mapema sana
Sahihi mkuu. kilichowaponza ni ukambale unaanzaje kumfukuzia mtu na hamjui kama ana siraha ama lah!
Nina uhakika TRA hana mamlaka ya kwenda kukamata mtu bila kuwa na police yaani kienyeji tu. wapigwe ili wajue mipaka yao. Kama kusema tumesema sana humu hawasikii
 
Kituo kinachofuata tumeshavuka stage sasa ni kushtuana hata kupigiana Simu Wazee na sisi shughuli km hizo zisitupite tunapenda kurusha mawe kwenye vioo vya magari, siku nyingine tupigiane hata simu basi sio mnarusha mawe peke yenu
 
Kituo kinachofuata tumeshavuka stage sasa ni kushtuana hata kupigiana Simu Wazee na sisi shughuli km hizo zisitupite tunapenda kurusha mawe kwenye vioo vya magari, siku nyingine tupigiane hata simu basi sio mnarusha mawe peke yenu
Kabisa saivi inatakiwa tu Alert yaani ukisema watekaji na location ulipo chap sana fika pale na mawe
 
Mtakufa nyie 🤣🤣🤣.
kwani kulikuwa na ulazma wa kulikimbiza?namba za gari za usajili wake si zipo?mngeenda kumfuatilia kimya kimya sio kukumbizana.
hapo hapo tegeta ndipo aliposhushwa marehemu Mzee kibao.mnadhani mngeachiwa?mshukuru MUNGU amewapenda japo hajawapenda ZAIDI.
 
Pigwa vitofali ilisahaulika petroli na kiberiti tu yangekua mengine muda huu watu wangepigwa mishikaki fasta fasta
 
Nawasaidia TRA kuwapa MREJESHO WA HARAKA wa baadhi ya sauti za wananchi kwa ujumla wao tona mitandao mingine wana maoni gani katika hili.

Ni vema mamlaka husika zisome maoni hapa, na hata baadhi ya haya ninayoambatanisha na kuelewa tumefikishwa hapa, hatutarudi nyuma hadi Serikali itekeleze kweli wajibu wake wa kulinda usalama wetu!

 
Kwanini mfanye ukamataji? Mlishindwa kuwataarifu Polisi?

Kwa hali ilivyo nchini mnashindwa kusoma alama za nyakati na kuwa pro-active kubadili utaratibu ili kuilinda taasisi na kulinda wafanyakazi?

Acheni habari za kizembe hizo, au hela zimeshawalevya na kuwalegeza?
 
POLIS MLIKUWA NAO?

KIPINDI HIKI WATU WANATEKWA HALAFU MNAJIPELEKA BILA KUWA NA POLIS WENYE UNIFORM UNATEGEMEA NI I?

MPIGWE TU.
 
POLIS MLIKUWA NAO?

KIPINDI HIKI WATU WANATEKWA HALAFU MNAJIPELEKA BILA KUWA NA POLIS WENYE UNIFORM UNATEGEMEA NI I?

MPIGWE TU.
Hata wangekua na polisi kingenuka na polisi wangeyachezea maandazi tu hawaaminiki hao wale jamaa si wanakuja na pingu kujifanya wao ni polisi hizo pingu wanazitoa wapi km sio polisi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…