Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee hizi reactions za raia zinatishaWanasiasa bana, sijui wanawachukuliaje wananchi?
Basi, asubuhi Waziri Mwigulu Nchemba akaibuka Instagram na kulaani.
Wananchi nao wamemtolea uvivu (hakuna cha siasa).
Nawarahisishia TRA kupata snapshot ya public reaction kwa Waziri wenu na jinsi wananchi walivyochoka.
Iwe funzo pia kwa Serikali na Mamlaka zake huko tunakoelekea. Hofu HAKUNA TENA
View attachment 3170168
View attachment 3170143View attachment 3170144View attachment 3170145View attachment 3170146View attachment 3170147View attachment 3170148View attachment 3170149View attachment 3170150View attachment 3170151View attachment 3170152View attachment 3170153View attachment 3170154View attachment 3170155View attachment 3170156View attachment 3170157View attachment 3170158View attachment 3170159View attachment 3170160View attachment 3170161View attachment 3170162View attachment 3170163View attachment 3170164View attachment 3170165View attachment 3170166View attachment 3170167
Jibu swaliNafikiri unaanza kuwa mwenda wazimu swali liko wapi?rudia kusoma bandiko lako na hiki ulichoandika hapa!
Huna swali!Jibu swali
Jaribu kuwa una proof read unachopost la sivyo utaonekana una mihemkoRelax gentleman,
itakubidi uzoee tu,
ukweli ndivyo ilivyo, ni mchungu , unsumiza na unaudhi sana.
I'm sorry for that gentleman 🐒
Kishakufa mmoja huko bata hawaUmeandika Very professional, sijutii kukosa usingizi kwa kweli.
thank you very much gentleman,Jaribu kuwa una proof read unachopost la sivyo utaonekana una mihemko
Hujitambuisawa kasongo yeye mobali na ngai 🐒
Relax nyumbu 🐒Hujitambui
HujitambuiRelax nyumbu 🐒
mihemko na makasiriko vitakupasua moyo gentleman 🤣Hujitambui
[emoji122][emoji122][emoji122]Kama gari mnaijua na ina usajili kwanini msimuite mwenye nayo atoe nyaraka za gari yake? Inakuwaje mnaanza kufuatilia mtu tena usiku?
Nyie ni polisi?
Je mna mamlaka ya kumfuatilia mtu na kumkamata au kukamata mali yake bila kushirikisha vyombo vya ulinzi na usalama?
Hayo yote mmeyataka kwakuwa hali ya usalama wa raia nchini imedhoofu kiasi kwamba sasa raia ni lazima kuwa vigilant la sivyo ni kutekwa na kuuwawa tu.
Wafanyakazi wenu mnatakiwa muwape barua ya onyo kwa kuwa negligent. Wameshindwa kusoma alama za nyakati.
Ni jino kwa jino sio ukataji tamaa, umeelewa tofauti kama kawaida yako mara zote.huko kujitoa muhanga kitaalam ni sawa na ugaidi.
ni aina ya ukataji tamaa wa kiwango cha juu mno. Na Chimbuko lake hua ni uvivu tu,
So,
gentleman kaza buti uondokane na mihemko ya hovyo kama hivyo 🐒