Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

Jaribu kuwa una proof read unachopost la sivyo utaonekana una mihemko
thank you very much gentleman,

hata hivyo ni muhimu kujiongeza kidogo, kwenda na biti ya sentensi na kukamilisha maana ya hoja na itapendeza zaid 🐒
 
Hawa mbwa hii ndio dawa yao ,tena wawe wanayachoma moto kabisa , kama kitaa majambazi na wezi wanapigwa na kuchomwa moto ,hata hawa washenzi wafinywe hivyo hivyo , mtu akienda kuteka watu kitaa kisenge senge apigiwe yowe la mwizi , wadundwe vilivyo na kupigwa moto
 
Hawa mbwa hii ndio dawa yao ,tena wawe wanayachoma moto kabisa , kama kitaa majambazi na wezi wanapigwa na kuchomwa moto ,hata hawa washenzi wafinywe hivyo hivyo , mtu akienda kuteka watu kitaa kisenge senge apigiwe yowe la mwizi , wadundwe vilivyo na kupigwa
 
Kama gari mnaijua na ina usajili kwanini msimuite mwenye nayo atoe nyaraka za gari yake? Inakuwaje mnaanza kufuatilia mtu tena usiku?

Nyie ni polisi?
Je mna mamlaka ya kumfuatilia mtu na kumkamata au kukamata mali yake bila kushirikisha vyombo vya ulinzi na usalama?

Hayo yote mmeyataka kwakuwa hali ya usalama wa raia nchini imedhoofu kiasi kwamba sasa raia ni lazima kuwa vigilant la sivyo ni kutekwa na kuuwawa tu.

Wafanyakazi wenu mnatakiwa muwape barua ya onyo kwa kuwa negligent. Wameshindwa kusoma alama za nyakati.
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
huko kujitoa muhanga kitaalam ni sawa na ugaidi.

ni aina ya ukataji tamaa wa kiwango cha juu mno. Na Chimbuko lake hua ni uvivu tu,

So,
gentleman kaza buti uondokane na mihemko ya hovyo kama hivyo 🐒
Ni jino kwa jino sio ukataji tamaa, umeelewa tofauti kama kawaida yako mara zote.
 
Back
Top Bottom