UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,563
- 5,687
Pole sana ,RIP dereva na pole familia.I hope hii itakuwa fundisho TRA wafanye kazi.kwa akili na sio.nguvuDereva n ndugu yangu kabisa amefari leo mchana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana ,RIP dereva na pole familia.I hope hii itakuwa fundisho TRA wafanye kazi.kwa akili na sio.nguvuDereva n ndugu yangu kabisa amefari leo mchana..
Hii ni mbegu mliyoipanda wenyewe kwa kutumia vyombo vya umma (STL/STK) kwenye utekaji mchana kweupe sasa mnavuna mnalia kutaka huruma bushit😠Nashauri operesheni hii isambae sehemu nyingi ya Dar es salama ili kuweka fundisho. Wakalie krismas segereMatata, mtuhumiwa wa mauaji namba moja awe ni yule aliyepiga kelele zilizozaa mauaji
lioneni hili mbumbumbuNashauri operesheni hii isambae sehemu nyingi ya Dar es salama ili kuweka fundisho. Wakalie krismas segereMatata, mtuhumiwa wa mauaji namba moja awe ni yule aliyepiga kelele zilizozaa mauaji
Utapigwa mawe ufe bwegewe nenda kachekeche uchekechwe ukiona wanakufuatilia kituo kinachofuata Tegeta ndevu ukifika pale piga kelele wananitekaaa uone mvua ya mawe inapotokeaNashauri operesheni hii isambae sehemu nyingi ya Dar es salama ili kuweka fundisho. Wakalie krismas segereMatata, mtuhumiwa wa mauaji namba moja awe ni yule aliyepiga kelele zilizozaa mauaji
Chuki inaongezeka katika jamii Tanzania haikuwa hiviTufikirie upya haya si maamzi sahihi
KIFO NI KIFO TU.Nashauri operesheni hii isambae sehemu nyingi ya Dar es salama ili kuweka fundisho. Wakalie krismas segereMatata, mtuhumiwa wa mauaji namba moja awe ni yule aliyepiga kelele zilizozaa mauaji
Wana operate kijambaz jambaz hawa nao na wangemtuliza sana sana wangemtoa hela tu wangemuachia
Nakumbuka mbeya kuna jamaa wa TRA walikuwa wanakimbiza gari limebeba magendo jamaa wa TRA Walikuwa mzinga wote walikata moto 😄
Hawakomi tuu
Ova
Bado wewe dawa yako inapoa utainywa tuNashauri operesheni hii isambae sehemu nyingi ya Dar es salama ili kuweka fundisho. Wakalie krismas segereMatata, mtuhumiwa wa mauaji namba moja awe ni yule aliyepiga kelele zilizozaa mauaji
Watekaji yeah.Unajiandikia tuu bila kusikiliza halafu kila mara unasema wewe ni muandishi wa habari!