Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

Nashauri operesheni hii isambae sehemu nyingi ya Dar es salama ili kuweka fundisho. Wakalie krismas segereMatata, mtuhumiwa wa mauaji namba moja awe ni yule aliyepiga kelele zilizozaa mauaji
 
Kifo ni kifo tu, hata huko kwingine haya yapo. Napia naomba mleta mada uache vijidrama drama. Ukafikili Serikali haipo mpaka watu wapigwe mawe na kuuwawa huo ni uzushi tu mnataka kuichafua Serikali.
 
Nashauri operesheni hii isambae sehemu nyingi ya Dar es salama ili kuweka fundisho. Wakalie krismas segereMatata, mtuhumiwa wa mauaji namba moja awe ni yule aliyepiga kelele zilizozaa mauaji
Hii ni mbegu mliyoipanda wenyewe kwa kutumia vyombo vya umma (STL/STK) kwenye utekaji mchana kweupe sasa mnavuna mnalia kutaka huruma bushit😠
 
Nashauri operesheni hii isambae sehemu nyingi ya Dar es salama ili kuweka fundisho. Wakalie krismas segereMatata, mtuhumiwa wa mauaji namba moja awe ni yule aliyepiga kelele zilizozaa mauaji
Utapigwa mawe ufe bwegewe nenda kachekeche uchekechwe ukiona wanakufuatilia kituo kinachofuata Tegeta ndevu ukifika pale piga kelele wananitekaaa uone mvua ya mawe inapotokea
 
Itakuwa wewe ni miongoni mwa wasiojulikana - mbona yule Mzee Kibao hatujasikia mtu kasombwa??? Mmepuuzia usalama wa watu - collateral damages zimeanza sasa - si mlisema kifo ni kifo..sawa..ndo haya sasa - watu wema wanapotea kwa inefficiency ya watu wachache
 
" wananchi wenye hasira Kali, hawajawahi kupandishwa kizimbani"

Tafakari.
 
Waanze kujikecha kwanza wenyewe, waanze na mtuhumiwa namba moja anaetajwa na Sativa, wafuate waliomteka Nondo, waje walioteka kina Soka na wenzake..... Wajichekeche hadi walioua kina Mzee Kibao wapatikane

Kwa matukio ya juzi na jana nahisi kabisa zile dua zilizopigwa kwenye msiba wa Mzee Kibao zinaanza kujibu
 
Huwezi kushindana na wananchi wewe chawa. Nyie endeleeni kufanya mnayoyafanya itafika mahali hizo nguo hamtatamani kuzivaa
 
Wana operate kijambaz jambaz hawa nao na wangemtuliza sana sana wangemtoa hela tu wangemuachia
Nakumbuka mbeya kuna jamaa wa TRA walikuwa wanakimbiza gari limebeba magendo jamaa wa TRA Walikuwa mzinga wote walikata moto 😄
Hawakomi tuu

Ova

Until death do us apart....
 
Shida ni kufanya kazi kiholela, nina uhakika hakuna sheria yeyote inayowapa mamlaka ya TRA kwenda kukamata magari bararani wao wenyewe bila ya msaada au kushirikisha jeshi la polisi.

Nakemea uhalifu na uhunl wa raia kuchukua hatua mkononi. Lakini wafanyakazi wa TRA na serikali kwa ujumla kudhani raia hawajui taratibu za serikali huo ushamba ushapitwa na wakati,

Wamejitakia na most likely njaa zao ndio zimęwaponza, kwa maelezo ya TRA makosa hayo ni ya kushughulikiwa na jeshi la polisi sio TRA.

TRA hawana mamlaka hayo.
 
Kwa hiyo ili uajiliwe TRA unakuwa umepitia mafunzo ya kukamata? Mhhhhhhh,
Namba DHX ina miaka zaidi 3 ilikuwa ina oparetije?
 
Nashauri operesheni hii isambae sehemu nyingi ya Dar es salama ili kuweka fundisho. Wakalie krismas segereMatata, mtuhumiwa wa mauaji namba moja awe ni yule aliyepiga kelele zilizozaa mauaji
Bado wewe dawa yako inapoa utainywa tu
 
Back
Top Bottom