Ufafanuzi kuhusu speed High way

Ufafanuzi kuhusu speed High way

Kitaalamu mkuu Highway speed ni 90 mpaka 120Km/hr isiwe zaidi
 
Kuna siku wamenisimamisha mmoja wao ananiambia kwamba nimesimamishwa kwa ajili ya spidi, nikamwambia, hii gari ina kikomo cha 240/ hr mimi nilikuwa 180/hr. Sasa inakuwaje unasema nimezidi speed ?. Kwa hasira akanifyatulia risiti na kunitupia dirishani, nilipandisha kioo na kuondoka kwa slip kali iliyowaachia vumbi la kutosha..!!

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Hahahahaha ndio dawa yao tu 😂😂😂 kama una mashine unaandikiwa tu. Kwani kitu gani bana
 
Siku hizi mkazo umeweka kwenye vivuko vya waenda kwa miguu. Unatakiwa usizidi 50 unapovipita. Ni balaa. Mie nilishajaribu lakini lazima wanibambe tu. Maana ni vingi mno.
 
Baada ya kibao cha 50 subiria mita 100 nyingine alafu baada ya hizo ni wewe, gari lako na Mungu wako. Cha ziada tu kama unataka kuovertake angalia kwa umakini side mirrors zako na mistari ya barabarani.

Cha ziada zaidi, ukiona kulia kwako kuna kibao kinachoruhusu magari ya nayoenda unakotoka yatembee zaidi ya 50, ujue fika hiyo eneo ni 50 hata kama hujabahatika kuona kibao.

Kibao Cha kumaliza 50KPH huwa na mistari minne au mitatu hivi. Ambayo maana yake ni kwamba kama kina mistari mitatu, ukitembea mita 300 ndiyo unamaliza speed limit ya 50.

Na kama kina mistari minne, ukitembea mita 400 ndiyo unamaliza speed limit ya 50.
 
180 huwa tamu jaribu uone 🙂🙂

Ukipita na 180 pale Same gari inaweza kwenda nje ya road. Kuna upepo mkali Sana hata TANROADS wameweka tahadhari.

By the way speed inategemea na vitu vingi ikiwemo uwezo na uimara wa gari husika.
 
Kuna siku nasimamishwa na trafiki barabaran ananiambia niko speed sana na kulikuwa hmna kibao cha speed 50 nami nilikuwa speed around 120 hvi,nilihic labda kuna maelekezo mapya siyajui

Pia kuna traffic wengine huonyesha ishara ya kushusha speed hata kama hukimbii. Hii ni kwa sababu za kiusalama tu. Mwendo kasi ni hatari pia.
 
Kibao Cha kumaliza 50KPH huwa na mistari minne au mitatu hivi. Ambayo maana yake ni kwamba kama kina mistari mitatu, ukitembea mita 300 ndiyo unamaliza speed limit ya 50.

Na kama kina mistari minne, ukitembea mita 400 ndiyo unamaliza speed limit ya 50.
Mkuu hii ni shule mpya, sikujua kama ile mistari ni mita
 
Kibao Cha kumaliza 50KPH huwa na mistari minne au mitatu hivi. Ambayo maana yake ni kwamba kama kina mistari mitatu, ukitembea mita 300 ndiyo unamaliza speed limit ya 50.

Na kama kina mistari minne, ukitembea mita 400 ndiyo unamaliza speed limit ya 50.
Kutoka katika kifungu kipi cha sheria ipi?
 
Wakuu nahitaji ufafanuzi kidogo kuhusu hivi vibao vya speed barabarani.Mfano umeshamaliza kibao cha speed 50 baada ya hapo unatakiwa utembee na speed ngapi (Gari ndogo) maana mabasi najua yana ving'amuzi
Mwisho ni speed 100 tu.
 
1610386014553.png

Najitahidi kuelewa ila kichwa kimegoma
 
Ukipita na 180 pale Same gari inaweza kwenda nje ya road. Kuna upepo mkali Sana hata TANROADS wameweka tahadhari.

By the way speed inategemea na vitu vingi ikiwemo uwezo na uimara wa gari husika.
Upo sawa kabisa.. kuna njia na mahala pa kuionha hiyon180 sio kila sehemu na kuna aina ya gari na gari pia
 
Back
Top Bottom