Ufafanuzi kuhusu tetesi za kufungwa kwa benki zaidi nchini Tanzania

Na zitakufa sana, watu walichukua mikopo dhamana kazi wametolewa makazini na mikopo imekufa kifo cha kimya.Hali ni tete kwenye banking hakuna foleni teena
 
South africa ni nchi tajiri lakini BANK zake hazizidi 10 kwanini tanzania iwe hivyo?
Mkuu mwanjamii siyo kweli kuwa SA bank hazizidi kumi
List of bank in south Africa
ocally controlled banks in South Africa
(registered in terms of the Banks Act)


Foreign controlled banks in South Africa

(registered in terms of the Banks Act)


Branches of international banks in South Africa

(registered in terms of the Banks Act)


Mutual banks in South Africa

(registered in terms of the Mutual Banks Act)


Investment banks in South Africa

Other banks in South Africa


Savings and credit co-operatives (SACCOs)

  • Find a list via the Savings and Credit Cooperative League of SA (SACCOL): www.saccol.org.za

South African bank related organisations

 
Sijaona baadhi ya benki hapo kama bank of china,bank of india,na kuna ile benki ya marekani iko karibu na holiday inn au zile hazihesabiwi kama benki?
 
Duuu et SA bank hazizidi kumi mambo ya bank wenzetu wapo mbali sana ndio maana hata training ya mambo ya Risk management wapo vizuri sana wakufunzi kutoka SA wanapokuja kutoa Elimu bank zetu za local hapo...
 

Kwani hii ripoti ya lini?
 
South africa ni nchi tajiri lakini BANK zake hazizidi 10 kwanini tanzania iwe hivyo?
Waweza kuzishinikiza bank kubwa kama StanChart kwenda kufundua tawi Mbinga, Wanging'ombe n.k? Ma bank mengine - community banks - zilianzishwa kwenye maeneo ambapo ma bank makubwa huku hayaendi kwa sababu za kibiashara na miundombinu mibovu.
 
Hizi takwimu ni za uongo. Ile sheria iko wapi. Nani katoa hizi takwimu. Za uongo.
 
Kuna haja ya serikali kuendelea kuongeza liquidity kwenye mzunguko wa pesa.. Ni bora mwakani turudi kwenye inflation ya 7% (anything <10% is just fine) so that our growth rate can climb to >7% with an increased employment prospects.
 
Sijaona baadhi ya benki hapo kama bank of china,bank of india,na kuna ile benki ya marekani iko karibu na holiday inn au zile hazihesabiwi kama benki?
Ukiona hivyo zinafanya vizuri, angalia list imeanza na namba ngapi.
 
South africa ni nchi tajiri lakini BANK zake hazizidi 10 kwanini tanzania iwe hivyo?


Hapa kwetu biashara nyingi ni za kuigana, ukiona jirani ananufaika kwa kuuza nyanya basi nawe kesho asubuhi unajenga kichanja cha kuuzia nyanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…