Ufafanuzi kwa wale waliowahi kurudia mtihani wa kidato cha nne

Ufafanuzi kwa wale waliowahi kurudia mtihani wa kidato cha nne

KabudiMasta

Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
10
Reaction score
9
Kwema wana JF,

Nilikuwa nahitaji kujua kwa wale waliowahi kurudia mtihani wa kidato cha nne, nilimaliza 2018 nikapata C mbili na D moja, hivyo nataka kurudia masomo matano pamoja na hilo nililopata D, sasa swali langu ni kwamba nikirudia cheti kikitoka kitakua na zile C zangu mbili? Au mfumo wa cheti cha kurudia kinakuaje!
 
Zinakuepo kivipi.? Sio kwamba anapewa cheti kingine chenye matokeo mapya
Kwema wana JF,

Nilikuwa nahitaji kujua kwa wale waliowahi kurudia mtihani wa kidato cha nne, nilimaliza 2018 nikapata C mbili na D moja, hivyo nataka kurudia masomo matano pamoja na hilo nililopata D, sasa swali langu ni kwamba nikirudia cheti kikitoka kitakua na zile C zangu mbili? Au mfumo wa cheti cha kurudia kinakuaje!
Necta wanatoa cheti kwa masomo uliyoyafanyia mtihani

Mfano. Ufanye mitihani 3 alafu cheti kiwe na matokeo ya mitihani 5? Hio haipo.

Kama unataka cheti kimoja kikamilifu, rudia masomo yote.
 
Mfano. Ufanye mitihani 3 alafu cheti kiwe na matokeo ya mitihani 5? Hio haipo.

Kama unataka cheti kimoja kikamilifu, rudia masomo yote.
Ooh kumbe mtu akirudia masomo yote anapewa cheti kipya.?
 
Back
Top Bottom