Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Utajuje kam kuna hasara au faida ktk kampuni...wanakutaarifu au?Kwa kifupi, unaponunua hisa, unakua mmiliki wa hiyo kampuni. Inamaana wakipata faida, unagawiwa faida kutokana na idadi au wingi wa hisa zako. Hali kadhalika wakipata hasara, itakugusa kwa sababu bei ya hisa itashuka.
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app