Ufafanuzi Kwanini Simba walipie gharama za viti uwanja wataifa

Ufafanuzi Kwanini Simba walipie gharama za viti uwanja wataifa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Wote mnaosema wizara imeyumba Kwa iyo taarifa, niwaambie tu kwamba.

Wizara haiwezi kuwaandikia Sfaxien walipe viti. Kwaiy sas kwasababu Simba ndo walikabidhiwa uwanja so ni jukumu lao kuhakikisha uwanja unakuwa safi na salama.

Simba ndo wanatakiwa sas wapeleke malalamiko CAF kutokana na kilichotokea then CAF watajiridhisha na kwakupitia Report ya match commissioner then watatoa maamuzi...

Lakini mpaka yote hayo yafanyike Makolo mnatakiwa mkarabati uwanja Hamna kulia Lia manake mmezoea sana kulia Lia nyie.

Hata kwaakili za kawaida Inawezekanaje mashabiki 10 wa Sfaxien wang'oe viti 256 ndani ya dkk 5.
 
Yale mashabiki ya sfaxien yalitakiwa yakamatwe hapohapo uwanjani yawekwe ndani mpaka yalipe uharibifu. Hivi inawezekana vipi mtz shabiki wa simba, yanga, azam, sbs afanye uharibifu kwenye uwanja wa kigeni nje ya nchi aachwe tu? Wale wageni ni wahuni na hawana heshima ugenini
 
Yale mashabiki ya sfaxien yalitakiwa yakamatwe hapohapo uwanjani yawekwe ndani mpaka yalipe uharibifu. Hivi inawezekana vipi mtz shabiki wa simba, yanga, azam, sbs afanye uharibifu kwenye uwanja wa kigeni nje ya nchi aachwe tu? Wale wageni ni wahuni na hawana heshima ugenini
Ukiwakamata hao ....utaleta diplomacy confrontation
 
Wote mnaosema wizara imeyumba Kwa iyo taarifa, niwaambie tu kwamba
Wizara haiwezi kuwaandikia Sfaxien walipe viti. Kwaiy sas kwasababu Simba ndo walikabidhiwa uwanja so ni jukumu lao kuhakikisha uwanja unakuwa safi na salama.
Simba ndo wanatakiwa sas wapeleke malalamiko CAF kutokana na kilichotokea then CAF watajiridhisha na kwakupitia Report ya match commissioner then watatoa maamuzi...

Lakini mpaka yote hayo yafanyike Makolo mnatakiwa mkarabati uwanja Hamna kulia Lia manake mmezoea sana kulia Lia nyie.

Hata kwaakili za kawaida Inawezekanaje mashabiki 10 wa Sfaxien wang'oe viti 256 ndani ya dkk 5.
Simba ni timu ya mijitu mijingamijinga tu, kila mara wao hung'oa viti uwanjani.
Tayari ukisha anza kujihisi kwamba una mkia, basi jua akili huna.
 
Kwakua video zinawaonyesha Watanzania walio husika ku ng'oa viti basi Kila aliye ngo'a kiti nayeye ang'olewe meno kulingana na idadi ya viti alivyo ng'oa.
Awa jamaa wamesha zoea kung'oa viti , Kuna siku isiyo na Jina watafanya zaidi ya haya.
 
Kwakua video zinawaonyesha Watanzania walio husika ku ng'oa viti basi Kila aliye ngo'a kiti nayeye ang'olewe meno kulingana na idadi ya viti alivyo ng'oa.
Awa jamaa wamesha zoea kung'oa viti , Kuna siku isiyo na Jina watafanya zaidi ya haya.
Wanaaibisha Taifa
 
Wote mnaosema wizara imeyumba Kwa iyo taarifa, niwaambie tu kwamba.

Wizara haiwezi kuwaandikia Sfaxien walipe viti. Kwaiy sas kwasababu Simba ndo walikabidhiwa uwanja so ni jukumu lao kuhakikisha uwanja unakuwa safi na salama.

Simba ndo wanatakiwa sas wapeleke malalamiko CAF kutokana na kilichotokea then CAF watajiridhisha na kwakupitia Report ya match commissioner then watatoa maamuzi...

Lakini mpaka yote hayo yafanyike Makolo mnatakiwa mkarabati uwanja Hamna kulia Lia manake mmezoea sana kulia Lia nyie.

Hata kwaakili za kawaida Inawezekanaje mashabiki 10 wa Sfaxien wang'oe viti 256 ndani ya dkk 5.
Turudi kwenye matokeo ya uwanjani ya Dar na Lubumbashi
 
Hii ni mbaya sbb inahatarisha ushiriki wetu kwenye CHAN na AFCON. hii itaonyesha nchi haina usalama viwanjani.
 
Hata kwaakili za kawaida Inawezekanaje mashabiki 10 wa Sfaxien wang'oe viti 256 ndani ya dkk 5.
Inawezekana Pia Madhabiki wa Yanga wameshiriki Kung’oa viti.
Sababu Walioenda/Ingia Uwanjani ni Mashabiko wa Simba Tuu?
Unawajuaje kuwa Waliong’os ni Mashabiki wa Simba? Walikuwa na alama?
What if kama kuna Pia wa Yanga Kadhaa!
Uwanjani wameingia watu wa Dini mbali mbali,Kabila mbali mbali,Mashabiki mbali mbali!
Sababu Simba ndio alikuwa Mwenyeji wa Mchezo anaweza Kulipa!
Ila Pia Jukumu la Kulinda vurugu za Uwanja ni za Polisi Au Mamlaka za Uwanja!
Anyway
Simba wanaweza Kulipa kiungwana tuu!
 
Turudi kwenye matokeo ya uwanjani ya Dar na Lubumbashi
Dar ni kombe la wamama ( shirikisho.... kombe la wamama
Congo kulikuwa na kombe la club bingwa..... wanaume
 
Inawezekana Pia Madhabiki wa Yanga wameshiriki Kung’oa viti.
Sababu Walioenda/Ingia Uwanjani ni Mashabiko wa Simba Tuu?
Unawajuaje kuwa Waliong’os ni Mashabiki wa Simba? Walikuwa na alama?
What if kama kuna Pia wa Yanga Kadhaa!
Uwanjani wameingia watu wa Dini mbali mbali,Kabila mbali mbali,Mashabiki mbali mbali!
Sababu Simba ndio alikuwa Mwenyeji wa Mchezo anaweza Kulipa!
Ila Pia Jukumu la Kulinda vurugu za Uwanja ni za Polisi Au Mamlaka za Uwanja!
Anyway
Simba wanaweza Kulipa kiungwana tuu!
Jezi
 
Back
Top Bottom