KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Ohh yeahKwamba ni sahihi kuitwa Mbu mbu Mbu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohh yeahKwamba ni sahihi kuitwa Mbu mbu Mbu
Nyie mnaumizwa na 1 point mliyonayoMakolo wanazingua
Kwa hiyo Sfaxien walikuwa na mashabiki 10Hata kwaakili za kawaida Inawezekanaje mashabiki 10 wa Sfaxien wang'oe viti 256 ndani ya dkk 5.
Nyie mimbumbumbu na midunduka ni washamba sana. Wahuni wakubwa nyieMisindano FC inaonekana hamkuridhika na kale kapoint kamoja mlikobahatisha juzi.
Kuna mashabiki mamluki wengi walikuwa nao upande huo.Wote mnaosema wizara imeyumba Kwa iyo taarifa, niwaambie tu kwamba.
Wizara haiwezi kuwaandikia Sfaxien walipe viti. Kwaiy sas kwasababu Simba ndo walikabidhiwa uwanja so ni jukumu lao kuhakikisha uwanja unakuwa safi na salama.
Simba ndo wanatakiwa sas wapeleke malalamiko CAF kutokana na kilichotokea then CAF watajiridhisha na kwakupitia Report ya match commissioner then watatoa maamuzi...
Lakini mpaka yote hayo yafanyike Makolo mnatakiwa mkarabati uwanja Hamna kulia Lia manake mmezoea sana kulia Lia nyie.
Hata kwaakili za kawaida Inawezekanaje mashabiki 10 wa Sfaxien wang'oe viti 256 ndani ya dkk 5.
Nikajua umetoa maoni hayo, kwa mujibu wa Utanzania, na uanamichezo wako! Kumbe "UMESUKUMWA" na UTOPOLO wako!Imagine Simba wapo loser cup ....bado wanang'oa viti
Je wakija huku Kwa wanaume??
nasikia uto wenye akili ni wawili tu, baba mzungu na mwingine Huwa anatokea huko bagamoyo.Simba ni timu ya mijitu mijingamijinga tu, kila mara wao hung'oa viti uwanjani.
Tayari ukisha anza kujihisi kwamba una mkia, basi jua akili huna.
sasa mzee baba matokeo ya CAFCL utalinganisha na ya LOOSER CUP. au niambie ni lini ulienda DRC ukaambulia hata sare dhidi ya TP MAZEMBE?Turudi kwenye matokeo ya uwanjani ya Dar na Lubumbashi
Wala haujaambiwa ulinganishe. Nimekwambia tu turudi kwenye matokeo ya mechi, sasa utaamua mwenyewe ni yapi umechagua kutujulisha 😀😀 😀sasa mzee baba matokeo ya CAFCL utalinganisha na ya LOOSER CUP. au niambie ni lini ulienda DRC ukaambulia hata sare dhidi ya TP MAZEMBE?
Hao niliowa'bold pamoja na wewe wote hamna akili... kama mnazo basi mnatumia za Bambo🤒🤒Inawezekana Pia Madhabiki wa Yanga wameshiriki Kung’oa viti.
Sababu Walioenda/Ingia Uwanjani ni Mashabiko wa Simba Tuu?
Unawajuaje kuwa Waliong’os ni Mashabiki wa Simba? Walikuwa na alama?
What if kama kuna Pia wa Yanga Kadhaa!
Uwanjani wameingia watu wa Dini mbali mbali,Kabila mbali mbali,Mashabiki mbali mbali!
Sababu Simba ndio alikuwa Mwenyeji wa Mchezo anaweza Kulipa!
Ila Pia Jukumu la Kulinda vurugu za Uwanja ni za Polisi Au Mamlaka za Uwanja!
Anyway
Simba wanaweza Kulipa kiungwana tuu!