Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafie mbele na point zako 4 kama miguu ya stuliHapana mkuu.... zilikua ni medals.... though...that time kulikuwa na competition Kali sana
😃😀😄😆Ni Busara Zaidi Kama Ungefanikiwa Kukaa Kimya Lakini Ndio Hivyo Yeye Mwenye Uwezo Ameruhusu Litokee Nasi Hatuna Budi Kushukuru Na Hili Pia Kutoka Kwako
Rudia tena kusoma hiyo comment yanguWale sio waarabu mzee
Wale Al hilal ya Sudan ambao hawana hata ligi kwao ni waarabu gani?Waarabu mliowafunga ni toleo la mwisho kabisa, punguzeni kelele na nyie
Makolo Baada ya kuifunga goli MOJA timu mbovu wameanza kupiga kelele mara ooh tumewafunga waarabu kwao .....
Kiuhalisia ....Simba wamewafunga waarabu Koko ( toleo la mwisho) sio pure waarabu View attachment 3194054
Baada ya kukufanya vibaya sebleni kwako? Huo uimara watauonyesha hadi mechi inayofuatiaWale ni waarabu imara sana
Waarabu mliowafunga ni toleo la mwisho kabisa, punguzeni kelele na nyie
Makolo Baada ya kuifunga goli MOJA timu mbovu wameanza kupiga kelele mara ooh tumewafunga waarabu kwao .....
Kiuhalisia ....Simba wamewafunga waarabu Koko ( toleo la mwisho) sio pure waarabu s
Ukishaona kijana kabalee na anamshabikia Muarabu. Inaumiza sana hasa sisi wakongwe.Waarabu mliowafunga ni toleo la mwisho kabisa, punguzeni kelele na nyie
Makolo Baada ya kuifunga goli MOJA timu mbovu wameanza kupiga kelele mara ooh tumewafunga waarabu kwao .....
Kiuhalisia ....Simba wamewafunga waarabu Koko ( toleo la mwisho) sio pure waarabu View attachment 3194054
Kumepoa kwako sisi tunaona vibe kama loteeSaiz loser cup kumepoa sana