Ufafanuzi tafadhali juu ya kurejeshwa upya kazini

Ufafanuzi tafadhali juu ya kurejeshwa upya kazini

Stretcher

Member
Joined
Oct 24, 2020
Posts
34
Reaction score
24
Wadau habarini!
nimepata barua jana toka utumishi; wamenipa check namba na kunishauri niombe sekretarieti ya ajira au taasisi yoyote inayohusika na ajira serikalini ili waweze kunipangia kazi kulingana na mahitaji yaliyopo. Swali je watakuwa na connection gani ya kutambua kwamba nimeomba? ili wanipangie kituo au natakiwa niwataarifu pindi nitakapoomba? Tafadhali naomba ufafanuzi.
 
Wadau habarini!
nimepata barua jana toka utumishi; wamenipa check namba na kunishauri niombe sekretarieti ya ajira au taasisi yoyote inayohusika na ajira serikalini ili waweze kunipangia kazi kulingana na mahitaji yaliyopo. Swali je watakuwa na connection gani ya kutambua kwamba nimeomba? ili wanipangie kituo au natakiwa niwataarifu pindi nitakapoomba? Tafadhali naomba ufafanuzi.
Hili swali muulize aliyekupa hii taarifa, mbona simpo tu
 
Wadau habarini!
nimepata barua jana toka utumishi; wamenipa check namba na kunishauri niombe sekretarieti ya ajira au taasisi yoyote inayohusika na ajira serikalini ili waweze kunipangia kazi kulingana na mahitaji yaliyopo. Swali je watakuwa na connection gani ya kutambua kwamba nimeomba? ili wanipangie kituo au natakiwa niwataarifu pindi nitakapoomba? Tafadhali naomba ufafanuzi.
Omba kazi ofisi za CCM utapata
 
Back
Top Bottom