Ufafanuzi wa Balozi Kairuki kuhusu Wanafunzi wa Kitanzania kuchukuliwa na Ndege ya ATCL

Uzi wa malisa umepiga pake pamoja na wapiga vigelegel kumponda malisa,ukifuatilia malisa alikuwa na hoja na ndio maana Balozi kajibu fasta kwani alijuwa kuna ukweli kwenye hoja za malisa,na kama malisa asingekuwa na hoja balozi asingechukuwa muda wake kujitetea vile.

Big up,sana malisa tunaitaji wakosoaji wengi kuliko washangiliaji wengi.
 
Tatizo la hao wakurupukaji kina malisa, wakiskia kitu negative wanafrai sana wakiandike kwa mbwembwe ili wapate ujiko bila hata kujiridhisha ukweli wa Jambo lenyewe, upuuzi wa kiwango cha juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…