Duh pole sana kwa rafiki yako Mungu yupo na ndie kila kitu kwetu. Hii ishu kwakwel ilinitokea Ila duh niliposikia story za mdada niliyekuwa nae mbona kulitokea mabadiliko ya ghafla Ila duh nikapiga moyo konde nikawa kwa kila baada ya kipindi hununua test na kujipima miez mitatu tofaut alhamdulillah Mungu kaniepusha nao. Mara ya mwisho nikawa dah mwili ukawa unauma nikasema wacha tu nikapanga day moja niende hospital baada ya kufika hospital nikatafuta dokta nikaongea nae pemben nikamwambia nataka nifanye chek up ya mwili wangu wote kabisa nikampelekea na mkojo achek kuwa hamna tatzo, akanitoa damu ya kutosha ya kufanyia vipimo vyake kwenye fundo LA mkono kwa mbele baada ya hapo akaniambia subir majibi yako nikaa kama roboo SAA hivi akaniita dah yaan majibu akanimabia huna tatzo lolote linalokusumbua kiafya na pia kwenye mkojo hakuona tatzo lolote Ila nikamuambia mbona mwili unaniuma sana ndio kuna dawa akaniandikia nikatafuta dispensary ikawa kila baada ya wiki ninaenda na kunipiga sindano lile tatzo lilipotea aalhamdulillah.