Ufafanuzi wa hili jambo, mimi limenishangaza kidogo.

Huyo muathirika alikuwa kwenye treatment ndiyo maana jamaa yako amepona.
Ebu ni fundishe kidogo mtu akiwa kwnye treatment ana shindwa vp muambukiza mwenzake iwapo maambukizi haya tegemei zaidi mchubuko... bali body fluids!? Maana ni rahisi kuambukizwa infected cells with virus (body fluid) kuliko free virus kwnye blood( mchubuko)
 
Kuna aliye eleza ukiwa kwenye treatment na viral load ikiwa 0 huwezi kumwambukiza mtu ingawa bado utakuwa na HIV
 
hivi gharama za kufanya chek up sh ngap? kwa gvm na private hospital? ?
 
Kuna aliye eleza ukiwa kwenye treatment na vita load ikiwa 0 huwezi kumwambukiza mtu ingawa bado utakuwa na HIV
Correction ni Viral load . Kipimo mbadala ya CD4 count: hichi kipimo kina tumika kujua namba ya virus wote mwlini ili kutoa dawa kulingana na uzito wake! Sasa rafki iwapo viral load ikiwa 0 si ina maanisha hauna virus mwilini ivyo ww si mgonjwa...!!

Kwa mm binafsi possbility ya mtu ku kwichi kwichi na mwenye HIV na asipate virus kwa mda mrefu ni kutokuwa na
CCR5 hizi ni receptors kwnye CD4 ambazo virus hu bind ili kuingilia DNA ya Host..!
 
Tofauti na kula kistaarabu.... Kingine kinachosaidia hua ni group la damu.......

Watu wenye group 0 baridi hua ni ngumu sana kuunyaka kama group nyingine za damu.
Weeee nani kasema ukiwa na O hupati ,,story zenu izo zakitaan achanen nazo.
Hapo naweza sema ni MUNGU lkn pia Kama mwadada alikua anatumia Dawa vzuri basi ilisaidia sana kwa jamaaa..

SEMA NYIE ACHEN AISEEE KUNA WATU UNAWEZA KUTAMAN KUWAFUMUA PUUUUUUU UBONGO HUKOOO !!. MTU ANAKUPOTEZA IVI IVI .
 
Viral load ikiwa 0 bado unauginjwa kwani ukiacha treatment tu wa arudi. Kuhusu cell receptors huyo ni wacha he sanacwanapona kwa njia hiyo.

Kama wagonjwa wote wakiwa kwenye treatment uwezekano wa kupunguza maambukizi mapya ni mkubwa sana.
 
Kupotea hawapotei sema ART nyingi huwa zina zuia kuongezeka kwa virus mfano kufikia stage zote za ukuaji... japo si katai viral huwa wana tabia yaku jificha kwny bahadhi ya cell ila swala ya VIRAL LOAD 0 kwangu huwa naona ni upotoshaj japo rate ya maambukizi hupungua kiasi fulani.

Ahsante kwa maelezo mazur @ SKY ECLAT
 
Sijasema 0baridi hapati ukimwi...... Nimesema ni ngumu kuupata......
 
Sijasema 0baridi hapati ukimwi...... Nimesema ni ngumu kuupata......
OK take it from me ,,hamna cha group wala nini...... Ukiona hujapata ngoma ,,kuna haya matatu ,,moja Mungu hajakutupa .
Pili ...mwenzi wako nimtumiaji mzuri Wa dawa +mnafanya ngono nzuri nahutumii njia nyingin mbaya km kunyonyana n.k.

Tatu ,,Huna HIV receptors ...sasa wasokua Na Receptors Wa HIV hapa dunian nisachacheeeeeeee Yaaaan wachachee nawao hata waoge kwenye bwawa LA dam ya HIV hawPati Ng'oooo.
 
hivi gharama za kufanya chek up sh ngap? kwa gvm na private hospital? ?
Kwakwel huko sijui mm nipo ughaibun kidgo kwahiyo unaweza ukaulizia zaid kwa hapo ulipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…