H.I.V rapid test ni DETERMINE,UN-GOLD pamoja na SD-BIOLINE ambacho siku hizi akitumiki sana.katika kila kipimo kuna mistai miwili ambayo ni control&patient band.hiwapo mistari itatokea miwili kwenye conjugate{coloring compound} ina manisha mtu uko ve+ ila ukiwa 1 kwenye control it means upo negative!! Ila zipo changamoto nyingi katika hizi rapidy test ikiwapo window period{the time delay between infection develope of antbody} ivyo vipimo vya rapid test vya weza onyesha faulse ve-.changamoto zingine zpo kwenye vifaa na vipimo sahihi vya damu,!