Ufafanuzi wa kina kuhusiana na Serikali kufungia Makanisa yasiyokidhi viwango vya kutoa huduma za kiroho

Akili Kubwa ya Paul Kagame kamwe huwezi Kuikuta kwa Viogozi wa Tanzania na ndiyo maana Rwanda yake inatuacha.
Ni kweli kabisa, hapa bongo viongozi wakubwa ndio huwa wageni rasmi kwenye hayo makanisa ya kijanja janja. Yaani mwakilishi wa mkuu wa kaya anapeleka bahasha iliyonona ikiwa sadaka imetoka nyumba nyeupe.
 
Ni kweli kabisa, hapa bongo viongozi wakubwa ndio huwa wageni rasmi kwenye hayo makanisa ya kijanja janja. Yaani mwakilishi wa mkuu wa kaya anapeleka bahasha iliyonona ikiwa sadaka imetoka nyumba nyeupe.
Ukiwa na Taifa ambalo 99% ya Viongozi wake kuanzia Wakuu na Wengine wanapenda Ushirikina tegemea huu Upuuzi.
 
Niliona ushuhuda wa mama mmoja pale kwa Mwamposa anadai tangu abandike picha ya mtume kwenye mtungi wa gesi ya kupikia, hajawahi ongeza gesi kwa miaka mitatu na anapikia muda wote huo.
 
Muumini anashuhudia kwa mtume Mwamposa kuwa tangu achomeke picha ya mtume pembeni ya mita ya luku, huwa hanunui tena umeme, yaani ni free tu.
 
Hivi kweli serikali inanufaika vipi na haya makanisa ya kijinga...nawaona watu wengi sana wanafilisika kupitia haya makanisa..maombi karibia siku 6 za week...kweli? Kaz zinafanyika muda gani....niliwahi mwambia wife siku nikisikia cjui unasema umeokaka utaniambia dhambi uliyofanya...kuwa tuu na hofu ya Mungu nenda kanisani ulilobatizwa roman catholic...inatosha kama ukitaka dini nyingine ni bora uhamie muslim...lakin sio hivi vikanisa vya uchochoroni...
 
Una akili sana mweshimiwa
 
Umeanza na kanisa hilo, kanisa la pili ni lipi maana umesema "kuyafungia makanisa"!
 
Ukiwa na Taifa ambalo 99% ya Viongozi wake kuanzia Wakuu na Wengine wanapenda Ushirikina tegemea huu Upuuzi.
Watanzanie na mutu ya Congo, kuishapendaga sana ulozi ,kwa vichwa vyao.. huwa naonaga ni wajinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…