Ufafanuzi wa kina matokeo ya Mbeya City Vs Yanga

Ufafanuzi wa kina matokeo ya Mbeya City Vs Yanga

Kumbuka hao ni wajumbe tu hasira zako kwa yanga zisikuzuie kusema ukweli

Wewe ni simba na siyo Mbeya city subiri Mbeya waseme

Kadi yangu ya Uanachama ya Simba SC unayo au wakati najisajili ulikuwepo nami ' mstarini ' huku nikiwa ' nakupumulia ' kwa nyuma?
 
Kadi yangu ya Uanachama ya Simba SC unayo au wakati najisajili ulikuwepo nami ' mstarini ' huku nikiwa ' nakupumulia ' kwa nyuma?
Simba anaongoza yanga nafasi ya pili jibu unalo nani anapumuliwa kwa nyumba
 
Mechi ya Mbeya City na Yanga ilichabangwa Jumapili (juzi). Matokeo yalikuwa 1-1. Uwanja wa Sokoine, Mbeya.


Nani anapata nini? Ipo wazi kuwa kama Mbeya City wangesawazisha goli kipindi wakiwa na mchezaji wa ziada uwanjani, kisha refa asingeona, lakini akaripoti kwa mamlaka ya mashindano, ingewezekana City kunyang'anywa pointi yao moja waliyopata kisha Yanga kupewa pointi zote tatu.

Goli lilifungwa kabla ya mgogoro husika. Uamuzi ulikuwa kumtoa nje ya uwanja aliyeingia kimakosa na kama ingebidi, ingepigwa adhabu ndogo. Hivyo ndivyo sheria inasema. Kwa hiyo hakuna namna Yanga wanaweza kupewa pointi tatu. Itakuwa ni tukio la kuchekesha kama itaamuliwa hivyo.



Ameandika Luqman MALOTO

Huyu Maloto anaumwa. Kwa hiyo ilibidi goli lifungwe mchezaji wa ziada akiwemo? Vipi hoja kwamba uwepo wake uliwapatia faida Mbeya City na hivyo kuzuia jitihada za Yanga kujipatia golilapili? Tuache sigara kali.
 
kama yanga wangefunga goli basi lingekubaliwa...
kama mbeya city wangefunga wakiwa wamezidi goli lingekataliwa....

kitu gani hujaelewa hapo?
au yanga hawawezi kufunga bila kupunguzwa kwa timu pinzani?
Tatizo mnatumia jazba katika kufafanua mambo. Ebu tuchukulie ndio mwamuzi awe ajamuona huyo mchezaji kama ilivyojitokeza na mechi ipo bila bila, then mbeya city wangepata goli na matokeo kusomeka moja bila hadi mwisho. Je, yanga wasingepewa point au matokeo yangebaki yanga kafungwa then angeazibiwa mwamuzi tu?
 
Simba anaongoza yanga nafasi ya pili jibu unalo nani anapumuliwa kwa nyumba

Mimi unanipumulia kwa mbali sana na hata haiumi ila Wewe Azam FC anakupumulia kwa ukaribu sana na huenda kila mara ' anaipenyeza ' tu ' myuuuuuuuuuuuuuuuu ' kimtindo na kuingia. Usipoangalia hadi Ligi inaisha utakuwa umeshambebea Mimba Azam FC.
 
Mimi unanipumulia kwa mbali sana na hata haiumi ila Wewe Azam FC anakupumulia kwa ukaribu sana na huenda kila mara ' anaipenyeza ' tu ' myuuuuuuuuuuuuuuuu ' kimtindo na kuingia. Usipoangalia hadi Ligi inaisha utakuwa umeshambebea Mimba Azam FC.
Wewe mbeleko tu unachengachenga eti uko mbali we simba tu

Kama sio simba sema timu yako

Matako fc hehehehe
 
kama yanga wangefunga goli basi lingekubaliwa...
kama mbeya city wangefunga wakiwa wamezidi goli lingekataliwa....

kitu gani hujaelewa hapo?
au yanga hawawezi kufunga bila kupunguzwa kwa timu pinzani?

Issue ni kwamba. Kama hiyo sheria ni kweli ina mapungufu kwa kuwa madhara ya kuzidisha mchezaji si urahisi wa kufunga kwa aliyezidi au kufungwa kwa aliyepungua bali ni kushindwa kufunga kwa aliyepungua.

Kwa kesi ya mechi ya mbeya, uwezo wa mbeya city kufunga au kulinda haukuathirika kwa adhabu ambyo haikutekelezwa ipasavyo, ambapo yanga haikufaidika kwa kuto pata uwezo mkubwa zaidi wa kulinda na hata kufunga.

Kuwa fair, inapaswa ule muda ambao mbeya walitakiwa kuwa pungufu urudiwe mpira kwa kulinda magoli kwa mfano 1-1 iliyokuwa kabla ya tatizo hilo. Hili linaweza kuwa pendekezo la mabadiliko ya sheria au kanuni.

Pia hii ni ushahidi kuwa sheria za soka nazo siyo exhaustive kwenye kila jambo, ndiyo maana makosa mengine anabeba refa lawama na adhabu, otherwise mpira utakuwa hauishi.
 
Hii ndio shida ya watanzania sheria zipo wazi ila tunapenda njia za panya.
 
Back
Top Bottom