Ufafanuzi wa kisheria kuhusu makubaliano ya kukiri kosa

Ufafanuzi wa kisheria kuhusu makubaliano ya kukiri kosa

HIYO SHERIA IMEANDALIWA KWA HATI YA DHARULA,

IKAPELEKWA BUNGENI,

IKAPITISHWA,

KISHA RAIS AKATANGAZA ANAYETAKA KUTUMIA FURSA HIYO (GHIRIBA) AKIRI KOSA NA KUREJESHA MALI,

KISHA SHERIA IKASAINIWA ILI IANZE KUTUMIKA.

HAPO NAONA KUNA JAMBO LIMEJIFICHA NYUMA YA HII KITU.

BAADA YA UCHAGUZI KILA KITU KITAJULIKANA.
Uzuri ni kwamba hakuna sheria inayopitishwa kwa hati ya dharura bila kuwa na favour ya jambo au tukio fulani either political gain or mass acceptance. Mana wanasiasa ni waji*nga sana wanapenda kutafuta mass sympathy huku wakiwa na ajenda zao za siri.
 
Uzuri ni kwamba hakuna sheria inayopitishwa kwa hati ya dharura bila kuwa na favour ya jambo au tukio fulani either political gain or mass acceptance. Mana wanasiasa ni waji*nga sana wanapenda kutafuta mass sympathy huku wakiwa na ajenda zao za siri.

HIYO AGENDA YA SIRI NI CHUNGU KULIKO SHUBIRI.

WATAKAOKIRI WAWE MAKINI,

IKITOKEA UMEKIRI, PESA YA KULIPA HUNA,

NINI KITAFUATA?

KITANZI, RISASI AU KWENYE VIROBA NA KUTUMBUKIZWA MTO RUVU ILI MAMBA NAO WAFANYE UFISADI WAO?
 
1569476319536.jpeg
 
HIYO AGENDA YA SIRI NI CHUNGU KULIKO SHUBIRI.
WATAKAOKIRI WAWE MAKINI,
IKITOKEA UMEKIRI, PESA YA KULIPA HUNA,
NINI KITAFUATA?
KITANZI, RISASI AU KWENYE VIROBA NA KUTUMBUKIZWA MTO RUVU ILI MAMBA NAO WAFANYE UFISADI WAO?
Ndio maana kwa mtazamo wangu kabla ya hiyo plea bargaining kuwe na prior agreement ya mahakama yenye option offers ambazo mtu atazipata akiingia kwenye hiyo bargaining ili apime kwanza uzito wa kile anachokwenda kufanya nacho bargaining (afanye maamuzi kwanza aingie au asiingie) otherwise bora musumbuane mahakamani tu, kieleweke.
 
Back
Top Bottom