Kwa vijana wa Chadema, Jaji kujitoa kwenye kesi wanafikiri is a big deal, lakini kumbe ni jambo la kawaida kabisa. Nina rafiki yangu hapa Mwanza ana kesi na mimi ndie mshauri wake kwenye hiyo kesi na wote hatujasomea sheria na hatujui sana sharia, lakini juzi tumepeleka hoja ya kutokuwa na imani na Hakimu na Hakimu amejitoa temepangiwa Hakimu mwingine.
Umesikia lakini kuwa Mh. Mbowe alipowasilisha malalamiko yake Jaji aliyaandika kabla ya kutoa uamuzi (ruling)?
Mahakamani kila uamuzi wa jaji au hakimu huenda kwa kifungu cha sheria na wenye kukubali au kukataa hoja husika.
Kujitoa kwa jaji Luvanda kuite wewe usiyejua sheria kwenye kesi yenu ya wizi wa kuku kama unavyotaka. Hakubadilishi kitu.
Kwani pilipili usizozila zikuwashe wewe namna gani bwana mpole mpole?