Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
- Thread starter
-
- #21
Nimekusoma wewe ndio umetoa maelezo mazuri kuliko hayo ya bodi hapo juuHaitaongeza chochote katika Net take home kwasababu, huo mchanganuo wa 15% unafanyikia bodi na sio kwa mwajiri.
IKO HIVI
1. Administration fee 1% huwa inalipwa kwa mkupuo unapoanza2 kukatwa/kulipa.
2. There after 6% Ya unachokatwa (15% of your basic salary) kinaenda kupunguza outstanding retention fee.
3. Finally, Kinachobaki ndicho kinaenda kupunguza Principle outstanding loan.
Hivyo basi, kwakufutwa VRF hakutaathiri Take home Bali kutaleta tija katika kupungua kwa as the result, repayment period itapungua.
Kama 6% kila mwezi inaenda kulipa VRF sasa haya madeni mapya yanatokea wapi baada ya kumaliza deni awali.Haitaongeza chochote katika Net take home kwasababu, huo mchanganuo wa 15% unafanyikia bodi na sio kwa mwajiri.
IKO HIVI
1. Administration fee 1% huwa inalipwa kwa mkupuo unapoanza2 kukatwa/kulipa.
2. There after 6% Ya unachokatwa (15% of your basic salary) kinaenda kupunguza outstanding retention fee.
3. Finally, Kinachobaki ndicho kinaenda kupunguza Principle outstanding loan.
Hivyo basi, kwakufutwa VRF hakutaathiri Take home Bali kutaleta tija katika kupungua kwa as the result, repayment period itapungua.
13.6m ukitoa 7.3m unapata 6.3m yaani ni zaidi ya kukopa benki. Nikiwaza hivi napata hasira sana.Mm deni langu lilikua 7.3m baada ya kuweka VRF admistration fee na Panalti likafika 13.6m..swali je
Deni langu litarudi kwenye 7.3m au ndo litabaki kwenye 13.6 na halitaongezeka?
13.6m ukitoa 7.3m unapata 6.3m yaani ni zaidi ya kukopa benki. Nikiwaza hivi napata hasira sana.
Mungu asante, umeyajibu maombi yetu.
Yaani mkuu acha tu.Wabunge wa CCM walisema NDIOOOO kupitisha mswada
Haitaongeza chochote katika Net take home kwasababu, huo mchanganuo wa 15% unafanyikia bodi na sio kwa mwajiri.
IKO HIVI
1. Administration fee 1% huwa inalipwa kwa mkupuo unapoanza2 kukatwa/kulipa.
2. There after 6% Ya unachokatwa (15% of your basic salary) kinaenda kupunguza outstanding retention fee.
3. Finally, Kinachobaki ndicho kinaenda kupunguza Principle outstanding loan.
Hivyo basi, kwakufutwa VRF hakutaathiri Take home Bali kutaleta tija katika kupungua kwa as the result, repayment period itapungua.
Hawa wako wengi hasa wale miaka ya nyuma 2000-2005. Wengi hawakatwi hadi leoKuna Ndugu yangu amefika Bodi ya mikopo na hakuna jina lake wakati walimkopesha pesa kozi ya Afya !
Hii 6% mara nyingi hawaiweki kwenye slip sababu kila mwaka inabadilika kwahiyo haiwezekani kila mwaka wakaupdate hazina.Hapo kwenye maelezo yako mkuu nikuulize.
Mfano ulikua na deni la 12mil, baada ya gharama hizo zingine kuongezeka deni likafikia 16mil. Je, hio 1%, 6% na 10% ndiyo zimefikisha deni la 16mil? Au hio 6% haionekani kwenye 16mil?
Retention fees bado watu wanakatwaNawasalimu kwa jina la JMT
Kulikuwa na maswali kadhaa kwamba je Salary itaongezeka baada ya kufutwa kwa tozo ya VRF ya 6% kwa wanufaika wa mikopo ya Elimu ya Juu au hapana.
Jibu ni kwamba take home itaongezeka maana makato ya 15% kwenye mshahara wa mwajiliwa nayo yana mchanganuo wake kwa mujibu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.
Kwa mfano kama ana salary yaTsh. 1,000,000 kwa mwezi na alichelewa kuanza kulipa atakatwa 15%=Tshs.150,000/=
Sasa hii 150,000 iko kwenye mchanganuo uliogawanywa kama ifuatavyo;
i) 1% ya Loan admnistratio fee=1,500
ii)6% ya VRF=9,000
iii) TSH.15,000 ambayo ni ADHABU ya kuchelewa kuanza marejesho na
iv)TSHS.139,500/= ndio pesa inayopunguza deni halisi yaani Principal Amount
Kwa hiyo kanuni ndio hiyo hapo na iko applicable kwa kila mtu kulingana na kiwango chake cha mshahara
Kwa mantiki hiyo basi 6% iliyofutwa kwa kutumia mfano huo hapo juu ni TSH.9,000/= ambayo itaongezeka kwenye Take Home ya mhusika.
Kwa hiyo ndugu watumishi ukichukua hiyo VRF iliyofutwa na punguzo la 1% kwenye Kodi ya PAYE bila shaka kuna pesa ya kilo kadhaa za nyama zimeongezeka wengine watapata kiasi hadi cha kukopea.
Technically makato ya 15% ukitoa hiyo 6% na 1% inabaki asilimia 9% ambayo ndio makato halisi na hayo mengine ulikuwa wizi.
Note,Kwa mtu ambae ameanza malipo kwa wakati ile adhabu haimuhusu.
View attachment 1776150View attachment 1776151View attachment 1776152