Ufafanuzi wa kufutwa kwa VRF kwa wanufaika wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, waajiriwa tegemeeni kuongezeka kwa take home

Ufafanuzi wa kufutwa kwa VRF kwa wanufaika wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, waajiriwa tegemeeni kuongezeka kwa take home

Haitaongeza chochote katika Net take home kwasababu, huo mchanganuo wa 15% unafanyikia bodi na sio kwa mwajiri.

IKO HIVI

1. Administration fee 1% huwa inalipwa kwa mkupuo unapoanza2 kukatwa/kulipa.
2. There after 6% Ya unachokatwa (15% of your basic salary) kinaenda kupunguza outstanding retention fee.
3. Finally, Kinachobaki ndicho kinaenda kupunguza Principle outstanding loan.

Hivyo basi, kwakufutwa VRF hakutaathiri Take home Bali kutaleta tija katika kupungua kwa as the result, repayment period itapungua.
Nimekusoma wewe ndio umetoa maelezo mazuri kuliko hayo ya bodi hapo juu
 
Vyovyote itakavyokuwa, namshukuru Mwenyezi Mungu kutuletea Mama Samia kuwa Rais.

Ndani ya mwezi mmoja wa uongozi wake tayari keshanishushia mzigo wa zaidi ya milioni 6 ambao ni hizo faini na riba haramu za mkopo ambazo Mwendazake na Ndungai walipitisha!
 
Haitaongeza chochote katika Net take home kwasababu, huo mchanganuo wa 15% unafanyikia bodi na sio kwa mwajiri.

IKO HIVI

1. Administration fee 1% huwa inalipwa kwa mkupuo unapoanza2 kukatwa/kulipa.
2. There after 6% Ya unachokatwa (15% of your basic salary) kinaenda kupunguza outstanding retention fee.
3. Finally, Kinachobaki ndicho kinaenda kupunguza Principle outstanding loan.

Hivyo basi, kwakufutwa VRF hakutaathiri Take home Bali kutaleta tija katika kupungua kwa as the result, repayment period itapungua.
Kama 6% kila mwezi inaenda kulipa VRF sasa haya madeni mapya yanatokea wapi baada ya kumaliza deni awali.
Sidhani hata kama bodi wana rekodi sahihi ya data zake. Nafikiri mwezi wa saba kutakuwa na malalamiko mengi baada ya kuweka data mpya
 
Mm deni langu lilikua 7.3m baada ya kuweka VRF admistration fee na Panalti likafika 13.6m..swali je
Deni langu litarudi kwenye 7.3m au ndo litabaki kwenye 13.6 na halitaongezeka?
13.6m ukitoa 7.3m unapata 6.3m yaani ni zaidi ya kukopa benki. Nikiwaza hivi napata hasira sana.

Mungu asante, umeyajibu maombi yetu.
 
Wabunge wa CCM walisema NDIOOOO kupitisha mswada
Yaani mkuu acha tu.

Walikuwa wameshikwa masikio. Leo wanageuka na kushangaa eti walipitisha vipi? Kuna jamaa zangu wawili hii ishu imewaumiza sana kila tukikutana wananiambia hawawezi kumsahau kayafa...
 
Hapo kwenye maelezo yako mkuu nikuulize.
Mfano ulikua na deni la 12mil, baada ya gharama hizo zingine kuongezeka deni likafikia 16mil. Je, hio 1%, 6% na 10% ndiyo zimefikisha deni la 16mil? Au hio 6% haionekani kwenye 16mil?
Haitaongeza chochote katika Net take home kwasababu, huo mchanganuo wa 15% unafanyikia bodi na sio kwa mwajiri.

IKO HIVI

1. Administration fee 1% huwa inalipwa kwa mkupuo unapoanza2 kukatwa/kulipa.
2. There after 6% Ya unachokatwa (15% of your basic salary) kinaenda kupunguza outstanding retention fee.
3. Finally, Kinachobaki ndicho kinaenda kupunguza Principle outstanding loan.

Hivyo basi, kwakufutwa VRF hakutaathiri Take home Bali kutaleta tija katika kupungua kwa as the result, repayment period itapungua.
 
Hapo kwenye maelezo yako mkuu nikuulize.
Mfano ulikua na deni la 12mil, baada ya gharama hizo zingine kuongezeka deni likafikia 16mil. Je, hio 1%, 6% na 10% ndiyo zimefikisha deni la 16mil? Au hio 6% haionekani kwenye 16mil?
Hii 6% mara nyingi hawaiweki kwenye slip sababu kila mwaka inabadilika kwahiyo haiwezekani kila mwaka wakaupdate hazina.
 
Nipo tayari kupokea deni jipya baada ya marekebisho yatokanayo na agizo la Mama Mh.Rais SSH.
Mungu amjalie maisha mema na marefu.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT

Kulikuwa na maswali kadhaa kwamba je Salary itaongezeka baada ya kufutwa kwa tozo ya VRF ya 6% kwa wanufaika wa mikopo ya Elimu ya Juu au hapana.

Jibu ni kwamba take home itaongezeka maana makato ya 15% kwenye mshahara wa mwajiliwa nayo yana mchanganuo wake kwa mujibu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.

Kwa mfano kama ana salary yaTsh. 1,000,000 kwa mwezi na alichelewa kuanza kulipa atakatwa 15%=Tshs.150,000/=

Sasa hii 150,000 iko kwenye mchanganuo uliogawanywa kama ifuatavyo;

i) 1% ya Loan admnistratio fee=1,500

ii)6% ya VRF=9,000

iii) TSH.15,000 ambayo ni ADHABU ya kuchelewa kuanza marejesho na

iv)TSHS.139,500/= ndio pesa inayopunguza deni halisi yaani Principal Amount

Kwa hiyo kanuni ndio hiyo hapo na iko applicable kwa kila mtu kulingana na kiwango chake cha mshahara

Kwa mantiki hiyo basi 6% iliyofutwa kwa kutumia mfano huo hapo juu ni TSH.9,000/= ambayo itaongezeka kwenye Take Home ya mhusika.

Kwa hiyo ndugu watumishi ukichukua hiyo VRF iliyofutwa na punguzo la 1% kwenye Kodi ya PAYE bila shaka kuna pesa ya kilo kadhaa za nyama zimeongezeka wengine watapata kiasi hadi cha kukopea.

Technically makato ya 15% ukitoa hiyo 6% na 1% inabaki asilimia 9% ambayo ndio makato halisi na hayo mengine ulikuwa wizi.

Note,Kwa mtu ambae ameanza malipo kwa wakati ile adhabu haimuhusu.
View attachment 1776150View attachment 1776151View attachment 1776152

Retention fees bado watu wanakatwa
 
Back
Top Bottom