Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu mishahara ilipwe na nani?Changamoto ya huu mfuko ni kutaka kujiendesha kwa faida wakati ni huduma ambapo mwananchi anatakiwa kufanya cost sharing
Tusitukuze umasikini.Dahh [emoji24] [emoji24] inauma Sana Kuna ambao hata hiyo ya 50400 ilikuwa changamoto Sasa hiyo 192k wataweza
TZ nchi yangu dahhh tunapoenda sijui wapi yani
Binafsi sipendi kuutukuza lakini ukweli usemwe not siasi but reality Kuna watanzania ambao Bima ya toto ni tegemezi kubwa Sana kwaooo
Walioungwa ni 217,000 je hao wengine walikuwa wakitibwa vipi?Binafsi sipendi kuutukuza lakini ukweli usemwe not siasi but reality Kuna watanzania ambao Bima ya toto ni tegemezi kubwa Sana kwaooo
Wanatibiwa tia maji tia maji mana yake wengi kupata 50400 ya mda mmoja hawaweziiii...Walioungwa ni 217,000 je hao wengine walikuwa wakitibwa vipi?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Waache kuzaaWanatibiwa tia maji tia maji mana yake wengi kupata 50400 ya mda mmoja hawaweziiii...
Kodi.
Yaani we uzae afu utegemee wengine wakulelee, tuwajibike kila mtu na wa kwakeKodi.
Acha ubepari uchwara haufai kwa dunia ya tatu.Yaani we uzae afu utegemee wengine wakulelee, tuwajibike kila mtu na wa kwake
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mfuko umeelemewa,Changamoto ya huu mfuko ni kutaka kujiendesha kwa faida wakati ni huduma ambapo mwananchi anatakiwa kufanya cost sharing