Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hvyo jua hata kupata hiyo amount ni changamotoWalioungwa ni 217,000 je hao wengine walikuwa wakitibwa vipi?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisaWanatibiwa tia maji tia maji mana yake wengi kupata 50400 ya mda mmoja hawaweziiii...
Sahihi kabisaWanatibiwa tia maji tia maji mana yake wengi kupata 50400 ya mda mmoja hawaweziiii...
Sahihi kabisaWanatibiwa tia maji tia maji mana yake wengi kupata 50400 ya mda mmoja hawaweziiii...
Wazazi hukatia wagonjwaUkiona hvyo jua hata kupata hiyo amount ni changamoto
Ile ni huduma lengo ni kutoa unafuu kwa raia tatizo wao wanataka kufanya kibiashara na wanapata ruzuku
Naomba Ufafanuzi wa gharama za Jubilee please...Karibuni huku jubilee ambapo unapata uhuru wankumkatia mtoto wako Bila kuwa na mzazi wake.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Karibuni huku jubilee ambapo unapata uhuru wankumkatia mtoto wako Bila kuwa na mzazi wake.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Gharama zipojeKaribuni huku jubilee ambapo unapata uhuru wankumkatia mtoto wako Bila kuwa na mzazi wake.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Sasa kwani Bima unakata ili upige nayo pichaMfuko umeelemewa,
Watu wanakata bima wakijua kuwa watoto wao ni wagonjwa ,
Bima inapata faida kama watu hawaingii kwenye majanga,
Bima yoyote ili kampuni inayotoa hiyo bima iendelee kupata faida sokoni ,lazima kuwe na wateja wanaolipa na hawatumii hiyo serviceSasa kwani Bima unakata ili upige nayo picha
Kumbuka unazungumzia watoto hapoBima yoyote ili kampuni inayotoa hiyo bima iendelee kupata faida sokoni ,lazima kuwe na wateja wanaolipa na hawatumii hiyo service
Mqanangu alikuwa na shida ya kuota vinyama kooni amabavyo vilikuwa vinampa shida ya kupumua kadiri anavyokua, kwa bima hiyo ya 54000 bill ya operation hospital ilikuja kama 470,000, kimahesabu mwanangu alitafuna kama michango ya watoto 9 huko Nhif, shida ipo hapa kama na hao watoto 9 nao waliugua maana yake mfuko utafilisika ndo kilichotokea
Bima ya watoto ndio yenye complications wao kwa sh 54000 wana acces ya Timiza, Timiza ni kifurushinghalincha mfukonwa bima , mtu mzima bima ya ya 192k ni kifurushi cha najali .Kumbuka unazungumzia watoto hapo
Bado wanatakiwa kuwaza zaidi na zaidi yani kumbuka unaongelea mtoto je huyo mama na mtoto akikata ya 192k wakahudumia tatizo la 470k faida kwao ipo wapi?
Wanakula kodi kila sehemu wangewaacha watoto ingekuwa bora