Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Habari, mnamo tar 6/8/2023 nlianzisha uzi huu Kuna haja ya kuwa na JF Fantasy EPL ambao ulikuwa unahusu haja ya kuanzishwa FPL ya Jamii Forums.
Kufuatia uzi huo members mbalimbali walipata muamko wa kuhitaji kupatikana ligi hiyo, wengine walikwenda mbali na kufungua leagues.
Jitihada zilifanyika kupatauongozi wa JamiiForums na kufanikiwa kupata league inayo kwenda kwa jina la JamiiForums Fantasy League yenye joining code hsyx67 na auto join link Fantasy Premier League, Official Fantasy Football Game of the Premier League.
Kwa kusema hayo ifahamike hii ndiyo league yenye baraka za uongozi wa JF na administrator wa hii league ni kiongozi wa JF, mimi ni member wa ligi na nilileta wazo, na mpaka sasa binafsi sijaona tangazo au tamko lolote linahusu winner's prizes au pesa ni just for Fun.
Nimekutana na league kama mbili nyingine ndio maana nkaona niweke ninachokifahamu kuhusu FPL JF.
Kufuatia uzi huo members mbalimbali walipata muamko wa kuhitaji kupatikana ligi hiyo, wengine walikwenda mbali na kufungua leagues.
Jitihada zilifanyika kupatauongozi wa JamiiForums na kufanikiwa kupata league inayo kwenda kwa jina la JamiiForums Fantasy League yenye joining code hsyx67 na auto join link Fantasy Premier League, Official Fantasy Football Game of the Premier League.
Kwa kusema hayo ifahamike hii ndiyo league yenye baraka za uongozi wa JF na administrator wa hii league ni kiongozi wa JF, mimi ni member wa ligi na nilileta wazo, na mpaka sasa binafsi sijaona tangazo au tamko lolote linahusu winner's prizes au pesa ni just for Fun.
Nimekutana na league kama mbili nyingine ndio maana nkaona niweke ninachokifahamu kuhusu FPL JF.