MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Salama wandugu
Nimemsikiliza Mwigulu akijieleza kuhusu tozo hakuna cha maana anachoeleza zaidi ya kumung'unya maneno
tulishasema ondoeni tozo siyo kuilemba lemba na kuipaka wanja ionekane kama asali wakati ni pilipili,kodi zilizopo zinatosha kuendesha nchi ila nyie mnacheka na wafanyabiashara.
Mmeruhusu matumizi mabovu hamkujifunza kwa JPM alizuia hata safari za nje ambazo hazina Tija kwa taifa.
Mmejazwa ujinga na mabeberu kwamba serikali ijitoe kwenye kuwekeza halafu mtegemee kukusanya kodi,
wenzenu mabeberu wana makampuni ambayo yapo chini ya serikali na faida inaingia serikalini.
NB Leo hii Russia asingekuwa na jeuri ya kukata gesi ulaya kama angeachia sekta binafsi .
Russian state-backed energy firm Gazprom is poised to hand a bumper £8.6bn payout to the Kremlin after notching up record profits.
Nimemsikiliza Mwigulu akijieleza kuhusu tozo hakuna cha maana anachoeleza zaidi ya kumung'unya maneno
tulishasema ondoeni tozo siyo kuilemba lemba na kuipaka wanja ionekane kama asali wakati ni pilipili,kodi zilizopo zinatosha kuendesha nchi ila nyie mnacheka na wafanyabiashara.
Mmeruhusu matumizi mabovu hamkujifunza kwa JPM alizuia hata safari za nje ambazo hazina Tija kwa taifa.
Mmejazwa ujinga na mabeberu kwamba serikali ijitoe kwenye kuwekeza halafu mtegemee kukusanya kodi,
wenzenu mabeberu wana makampuni ambayo yapo chini ya serikali na faida inaingia serikalini.
NB Leo hii Russia asingekuwa na jeuri ya kukata gesi ulaya kama angeachia sekta binafsi .
Russian state-backed energy firm Gazprom is poised to hand a bumper £8.6bn payout to the Kremlin after notching up record profits.