Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
In no uncertain terms, mbona hiyo barua inamruka, "Dr" Msukuma!Naona TCU kwa hiyo barua yao wamekaa kiuwoga uwoga na kiujanja ujanja, kwanza wamekuja na lugha ya malkia huku wakitumia intellectual term kibao.
Sisi tunataka TCU waseme sasa, je zile Phd za kina Msukuma ni halali au haramu?
Kama ni haramu, hatua gani zichukuliwe, wamezichukua au watazichukua?
In short ulichopewa hakitambuliwi na hakikidhi viwango.