M Mtanzanyika JF-Expert Member Joined Feb 12, 2015 Posts 368 Reaction score 425 Sep 1, 2019 #1 Wakuu habari ya wikiendi.... Napenda kufahamishwa kuhusu bima ya gari ya siku 7. Niliwahi kusikia mtu unaweza kukata bima ya siku ya 7 kwa gari lako. Naomba kufahamishwa kama ni kweli na je ni kampuni gani zinakata hiyo bima na kwa gharama gani.
Wakuu habari ya wikiendi.... Napenda kufahamishwa kuhusu bima ya gari ya siku 7. Niliwahi kusikia mtu unaweza kukata bima ya siku ya 7 kwa gari lako. Naomba kufahamishwa kama ni kweli na je ni kampuni gani zinakata hiyo bima na kwa gharama gani.
Mlolongo JF-Expert Member Joined Jul 4, 2019 Posts 3,483 Reaction score 6,257 Oct 13, 2021 #2 Sijawahi sikia hii
aise JF-Expert Member Joined May 16, 2018 Posts 5,175 Reaction score 16,488 Oct 14, 2021 #3 Sasa kweli bima ya siku saba? Hapo labda kama kuna ajali unataka kuitengeneza.
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 14,239 Reaction score 15,876 Oct 14, 2021 #4 Hahahahahahaaa!!
Samcezar JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 13,095 Reaction score 22,731 Oct 14, 2021 #5 Mmmmmmhmn sijawahi sikia. Labda kama ipo na itakuwa ya bei sana na kwa matumizi maalumu.
desayi JF-Expert Member Joined Aug 27, 2017 Posts 3,593 Reaction score 5,848 Oct 14, 2021 #6 Hizo wanapewa wale wa IT tu
Magari damu JF-Expert Member Joined Apr 24, 2020 Posts 433 Reaction score 759 Oct 24, 2021 #7 Ukilipia mafuta puma kwa selcom masterpass View attachment 1985428 Attachments Screenshot_20211024-165447_Messages.jpg 22.4 KB · Views: 6