Ufahamu kuhusu kulangua mpunga.

Ufahamu kuhusu kulangua mpunga.

Asante mkuu. .. Ifakara lazima niende huko
Manunuzi ya mpunga hayahitaji Elimu flani hasa kama ni mgeni,Unapokuwa mgeni kwenye swala la mpunga
1.Hakikisha unaenda kununua Mpunga na wanaofahamu namna ya ununuzi,(wanajua aina ya mpunga
2.Hili swala litakuepuka wewe kununua mpunga ulio na Biriani ama ulio na Mbigili,wazoefu huwa wanajua Mkulima gani ndio hulima mbegu nzuri na yupi hulima ya kawaida.
3.Utajigunza pia namna ya kununua mpunga..hapo juu wengi wameonglea sijui ndoo kuweka Mafuta ili ipanuke na janja nyengine...ila naomba niseme tu hizo ni mbinu za kizamani sana..wakulima sikuizi wana aina mbili za kukuuzia, wakati wa mpunga bei Rahisi
huwa wanauza kwa kupimiana kwenye Ndoo zao,na pindi mpunga umehadimika anaweza kukuuzia kwa Gunia moja kwa moja ujazo wa (Uzazi wa Mpango)
4.Na sio kweli kuwa mpunga utapata hasara kwa kuliwa na Panya..panya anaweza kula mpunga hta pishi moja asimalize sababu mpunga unawasha na kukata.
5.Kama utapata Muda nunua mpunga kule kule mitoni kipindi wanavyovuna inakuwa vizuri zaidi

MWISHO: Kama unataka anza biashara hii nenda kwanza kashinde Mashine ai
u iza Mchele maeneo ya mashine upate uzoefu kwanza. na si kwenda kichwa kichwa.
 
Mhh mimi mbona sijaelewa hiyo ndoo ukiifanya hivyo ndio inakuwa ina saidia mechanism gani
Yaani ni kuongeza ukubwa wa ujazo!! Kule wanapima mpunga kwa ndoo, yaani gunia moja ni ndoo 7!!sasa ukiitumia hiyo kupimia utakuta ukija kupima kwa ndoo za kawaida utakuta unapata ndoo tisa!!! Hivyo mkulima amepunjwa ndoo mbili!! Sasa mtu ana gunia mia hapo ameiba ndoo nyingi sana!!
 
Yaani ni kuongeza ukubwa wa ujazo!! Kule wanapima mpunga kwa ndoo, yaani gunia moja ni ndoo 7!!sasa ukiitumia hiyo kupimia utakuta ukija kupima kwa ndoo za kawaida utakuta unapata ndoo tisa!!! Hivyo mkulima amepunjwa ndoo mbili!! Sasa mtu ana gunia mia hapo ameiba ndoo nyingi sana!!
Aisee huo sio Utu
 
Aisee huo sio Utu
Ni kweli ila ukisema upime kwa ndoo za kawaida huwezi toka kabisa!!! Kwani humo humo kuna mwingine ni makapi hauna mbegu ndani!! Bado mashineni kwenye kuuandaa unapoanikwa lazima upungue!!, umwagikeila ni balaa
 
Back
Top Bottom