ufahamu kuhusu Toyota Funcargo

ufahamu kuhusu Toyota Funcargo

Obama wa Bongo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
5,431
Reaction score
4,925
naomba msada wenu wadau nataka ninunue toyota funcargo,sijawahi kuitumia sijui lolote kuhusu uzuri na ubaya wake.
nimelipenda kwa kuwa lina Engen capacity ndogo na linafaa kwa familia,pia litanisaidia kupunguza budget ya mafuta kwa mimi ninayekaa nje ya mji
hapo nyuma nimetumia ipsum ila nilabugia mafuta mengi na limekuwa rafiuki wa garage kila weekend......
natanguliza shukrani...............
 
Nishakua nayo,nigari imara na nzuri ndan,boot kubwa sana,space ya kutosha na kama wewe ni mtu wa dilidili inavyumba vya siri chini ambamo unaweza kuingiza siti zote za nyuma ikabaki kama haina siti,mafuta inakunywa 15km/ltr,nilisafiri nayo kutoka bukoba kahama na speed nilkua nakimbia mpaka 170 na hakayumbi ovyo
 
Nishakua nayo,nigari imara na nzuri ndan,boot kubwa sana,space ya kutosha na kama wewe ni mtu wa dilidili inavyumba vya siri chini ambamo unaweza kuingiza siti zote za nyuma ikabaki kama haina siti,mafuta inakunywa 15km/ltr,nilisafiri nayo kutoka bukoba kahama na speed nilkua nakimbia mpaka 170 na hakayumbi ovyo
thanks mkuu,na mimi nimeipendea ulaji wake wa mafuta
 
toyota funcargo turbo
15e0ad6s-960.jpg
 
Back
Top Bottom