Ufahamu Mti wa Mlusina (Leucaena leucocephaela)

Utuambie na mizizi yake inaongeza nguvu za kiume ili tukaichimbue vjzuri maana tumeshaujua
hahaha.. unaweza ukajaribu mkuu. ni miti mingi inachangia kitu kama iko, hata huu pia inawezekana lakini wataalamu hatujafuatilia zaidi upande huu.
 
Tuwekee picha ya huo unaoamini kuwa ndiyo wenyewe mkuu.

Inabidi tutofautishe majina haya. Kwa mazingira ya kikwetu Tanzania tunapozungumzia Lusina tunamaanisha mtu huo ambao picha yake imewekwa na mleta mada ambao kwa jina la kitaalamu unaitwa Leucaena leucocephala.

Pia kuna majani mengine yaitwayo alfalfa au kwa jina jingine uitwa lucerne. Yawezekana kwa vile jina lusina tulilozoea linakaribia kufanana na lucerne ndiyo maana wengine wanaweza kusema lusina siyo ule ambao majani yake yapo pichani ila ni lucerne wakati sivyo.
 
Iringa ipo mingi sana ni laini mno na mara nyingi huangushwa na upepo pindi ukiwa mkali sana.

Kwenye suala la mbao nahisi kutokana na mazingira ulipo mti wenyewe ila kwa iringa hata hauwez kufikia hatuna ya kuchana mbao kwasababu huwa unapinda kwa sababu ya upepo
 
Leucaena leucocephala
View attachment 1074949

Ni mti unaosaidia kusahihisha ama kurudisha Naitrojeni katika udongo, lakini pia ni mti unaokua haraka zaidi na asili yakeni Amerika ya kusini pamoja na.
Asante boss,huu mti siku hizinaona majani yake yanasagwa na kuuzwa km chakula Cha kuku.
Pia wanyama km mbuzi wanaupenda Sana.
Nasikia ukimpa mnyama anaongeza utoaji wa maziwa.
Sijawahi kujua km.majani yake ni mboga, hahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…