Jigiasis/funza ni ugonjwa unaotoka na mdudu Funza pale anapoingia kwenye maeneo ya mwili wa binadamu hasa miguuni asilimia kubwa hutokan na mazingira ya vumbi na pia uchafu.
Dalili zake Irritation/kuwashwa/kukereketa pale anapoingilia na hata wakati mwingine homa,Matibabu yake ni Kuvaa viatu,kumtoa,Sindano ya tetanasi na pia antibiotic kuzuia sekondary bacteria infection.
Funza wanakera kwa kweli unaweza kukosa usingizi kabisa.