bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Jigiasis/funza ni ugonjwa unaotoka na mdudu Funza pale anapoingia kwenye maeneo ya mwili wa binadamu hasa miguuni asilimia kubwa hutokan na mazingira ya vumbi na pia uchafu.
Dalili zake Irritation/kuwashwa/kukereketa pale anapoingilia na hata wakati mwingine homa,Matibabu yake ni Kuvaa viatu,kumtoa,Sindano ya tetanasi na pia antibiotic kuzuia sekondary bacteria infection.
Funza wanakera kwa kweli unaweza kukosa usingizi kabisa.
Dalili zake Irritation/kuwashwa/kukereketa pale anapoingilia na hata wakati mwingine homa,Matibabu yake ni Kuvaa viatu,kumtoa,Sindano ya tetanasi na pia antibiotic kuzuia sekondary bacteria infection.
Funza wanakera kwa kweli unaweza kukosa usingizi kabisa.