Muna ni yule mdada alie muibia Wema chupi, hapo ndipo mwanzo wake wa kujulikana.... tehteehhhmuna ndo nani hiv maana naskia tu muna muna muna
Cc: Ninja
Nimeshinda kuelewa pamoja na kuona picha...Tafsiri kidogo 😉
Hivi hiki kibibi kinachoonyesha kabisa kinaanza kuzeeka mnakiamini kweli kinaposema kimeokoka? Ni magumu ya maisha tu yanafanya watu wabuni mbinu tofauti za kujipatia fedha!Nimeangalia mahojiano mengi ambayo amefanya muna baada ya kuokoka akizungumzia maisha ya wokovu na ufahamu wa kimungu, nimegundua kuwa Muna unaupeo mdogo sana wa uelewa, pia inaonyesha maisha yake na makuzi yake yalikuwa mbali sana na dini, namna anavyo ongelea imani ya kikristo ni kama alikuwa kwenye imani ya budha sasa ndo kaingia ukristo. Nawashauri waandishi waache kumuhoji Muna kuhusu mambo ya Kimungu bali waongee nae mambo ya bongo muvi ndo anayajua zaidi.
Kiranga bhanaThibitisha Mungu yupo kwanza.
Mnaweza kumlaumu Muna hamjui Mungu, wakati hakuna anayemjua Mungu.Kiranga bhana
Mshana ndugu yangu ebu njoo huku mana kiranga naona amenza mambo yake....Mnaweza kumlaumu Muna hamjui Mungu, wakati hakuna anayemjua Mungu.
Kwa sababu Mungu hayupo.
Sasa utamjuaje Mungu kama hayupo?
Watu tumeona wanga wa usiku, nini huyo wa Mchana.Mshana ndugu yangu ebu njoo huku mana kiranga naona amenza mambo yake....
Cc Mshana jr
Hivi hatuna cha kuzungumzia zaidi ya muna? Kila siku muna muna. Muna hebu acheni ubintNimeangalia mahojiano mengi ambayo amefanya muna baada ya kuokoka akizungumzia maisha ya wokovu na ufahamu wa kimungu, nimegundua kuwa Muna unaupeo mdogo sana wa uelewa, pia inaonyesha maisha yake na makuzi yake yalikuwa mbali sana na dini, namna anavyo ongelea imani ya kikristo ni kama alikuwa kwenye imani ya budha sasa ndo kaingia ukristo. Nawashauri waandishi waache kumuhoji Muna kuhusu mambo ya Kimungu bali waongee nae mambo ya bongo muvi ndo anayajua zaidi.