Ufalme unaojifitini lazima utaanguka. Umeme ni eneo ambalo serikali inajifitini

Ufalme unaojifitini lazima utaanguka. Umeme ni eneo ambalo serikali inajifitini

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Tazama hii video uone jinsi ambavyo seeikali ya CCM inavyolihujumu Taifa.



Najiuliza, TRA wanapata wapi ujasiri kudai kodi kwa wajasiriamali wanaopigwa hasara na serikali kwa kukosa umeme wa uhakika?

Nchi haiendeshwi namna hii. Tunapaswa kuiwajibisha CCM haijawahi kuleta unafuu zaidi ya maigizo ya majukwaani.
 
Back
Top Bottom