Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 Feb 8, 2024 #1 Tazama hii video uone jinsi ambavyo seeikali ya CCM inavyolihujumu Taifa. Your browser is not able to display this video. Najiuliza, TRA wanapata wapi ujasiri kudai kodi kwa wajasiriamali wanaopigwa hasara na serikali kwa kukosa umeme wa uhakika? Nchi haiendeshwi namna hii. Tunapaswa kuiwajibisha CCM haijawahi kuleta unafuu zaidi ya maigizo ya majukwaani.
Tazama hii video uone jinsi ambavyo seeikali ya CCM inavyolihujumu Taifa. Your browser is not able to display this video. Najiuliza, TRA wanapata wapi ujasiri kudai kodi kwa wajasiriamali wanaopigwa hasara na serikali kwa kukosa umeme wa uhakika? Nchi haiendeshwi namna hii. Tunapaswa kuiwajibisha CCM haijawahi kuleta unafuu zaidi ya maigizo ya majukwaani.
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Feb 8, 2024 #2 Bwawa la Mwalimu Nyerere litaanza uzalishaji Umeme hivi karibuni
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 5,651 Reaction score 6,966 Feb 8, 2024 #3 Tanzania ili iweze kuendelea na kukua kiuchumu ni lazima CCM ife kabisa, na iwe ni Jinai kutaja neno CCM hadharani.
Tanzania ili iweze kuendelea na kukua kiuchumu ni lazima CCM ife kabisa, na iwe ni Jinai kutaja neno CCM hadharani.