Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Hapo kwa Ras Lion, Sijui nachanganya, hana araaipii?Yes, Master Jay kilichombeba ni uchache wa studio na shule, ila idea za beat alikuwa kawaida sana hata kwa kina Mika Mwamba hasogei. Mfano beat ya wimbo wa Wagosi 'Lidandasi' nilikuwa naona kinyaa kusikiliza, sema wasanii kipindi hicho walikuwa wanaandika sana so hata kama beat mbovu tunasikiliza mashairi. Wasanii wengine waliofanya kazi nyingi na Master Jay ni Mr Ebbo (RIP), Jonny Walker(RIP), Ras Lion, Mr Paul, Stara Thomas, n.k.