Rayz
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 339
- 261
Salaam wakuu!
Ilishawahi tokea hali ya kupelekwa polisi na mzazi wako na ukakaa lupango zaidi ya wiki ukiwa mtoto let say wa miaka kama 12 hivi, ulifanyaje ili kuondokana na mawazo mabaya kwa mzazi wako, na nini kifanyike kuondoa msongo kwa mtu aliyepitia hali kama hiyo?
Ilishawahi tokea hali ya kupelekwa polisi na mzazi wako na ukakaa lupango zaidi ya wiki ukiwa mtoto let say wa miaka kama 12 hivi, ulifanyaje ili kuondokana na mawazo mabaya kwa mzazi wako, na nini kifanyike kuondoa msongo kwa mtu aliyepitia hali kama hiyo?