Ufanye nini kuondoa msongo wa mawazo kwa matendo uliyotendewa na mzazi wako?

Ufanye nini kuondoa msongo wa mawazo kwa matendo uliyotendewa na mzazi wako?

Salaam wakuu!

Ilishawahi tokea hali ya kupelekwa polisi na mzazi wako na ukakaa lupango zaidi ya wiki ukiwa mtoto let say wa miaka kama 12 hivi, ulifanyaje ili kuondokana na mawazo mabaya kwa mzazi wako, na nini kifanyike kuondoa msongo kwa mtu aliyepitia hali kama hiyo?
Utakuwa ulikuwa mtukutu sana ikabidi akuchimbe bati kwa faida yako.
Kuna siku nilimkuta mzazi kamleta mwanae achimbwe bati na askari akawekwa mpaka ndani kwa sababu alikuwa hataki kwenda shule anaishia mtaani kucheza kamari
 
Siyo mada ya hovyo, tuendelee kujifunza. Kwa hiyo hakuna njia nyingine sahih zaid ya kumfunza mtoto zaid ya kumpeleka selo?
Mzazi anajaribu means zote zikishindikana anafika hadi kukutia lockup lengo ni kukusaidia wewe
 
Salaam wakuu!

Ilishawahi tokea hali ya kupelekwa polisi na mzazi wako na ukakaa lupango zaidi ya wiki ukiwa mtoto let say wa miaka kama 12 hivi, ulifanyaje ili kuondokana na mawazo mabaya kwa mzazi wako, na nini kifanyike kuondoa msongo kwa mtu aliyepitia hali kama hiyo?
Baba angu mzazi alichukia sana matoto TUNDU.....

Binafsi siitaji kua na litoto TUNDU linalofanya maujinga ujinga....

Watoto wa kizungu yaan genetically wako civilized...

Litoto la kibongo unakuta limejaxa ujinga ujinga mwingi kuliko maarifa.........

I hate that NDIO maana nilikua makini sana KUCHAGUA mwenza nikikuzoom hujielewi ni mwendo wa hit & run.....

Tulee watoto vyema na kuwashape kuja kua watu wazuri kwenye hii JAMII.....

Wasalaam
 
Salaam wakuu!

Ilishawahi tokea hali ya kupelekwa polisi na mzazi wako na ukakaa lupango zaidi ya wiki ukiwa mtoto let say wa miaka kama 12 hivi, ulifanyaje ili kuondokana na mawazo mabaya kwa mzazi wako, na nini kifanyike kuondoa msongo kwa mtu aliyepitia hali kama hiyo?
Kaa fikilia umemtendea mzazi wako mambo mabaya mangapi na bado akukutenga wala kuendelea kukufikilia kwa mabaya.
Umemdharau na kumtukana mzazi wako mara ngapi iwe alitambua na akutambua na bado akaendelea kusema huyu ni kijana wangu.

Jifunze kua na moyo kama wa mzazi wako kwanza, jifunze kusamehe na kusali pia, Moyo wa namna yako ni kuendekeza ujinga na udhaifu,
Kubali kufundishwa ukikosea huenda mzazi wako asingekupeleka polisi kipindi hicho sa hv ungekua na maisha mabaya, mabovu na ya aibu.
 
Je kwa mtazamo wako unaweza mpeleka mtoto lupango kisa hataki kwenda shule?

Inategemea kipind icho utak shule af uwe mwiZ wakuniibia mali zangu nakupeleka vizur kabisa
 
Tena sibora umepelekwa huko kuna mmoja alimpeleka kambi ya jeshi week nzima mbona mpaka leo kanyooka yaani km mm ndo mzazi wako ningekuweka hata mwezi. Hakuna mzazi anayetaka kuona mwanae anapotea
 
_ Unataka ujitawaze ukiwa umebana matako. Bado unahitaji kwenda lupango zaidi ili akili ikukae panapostahili.

_ Hiyo vita sio yako na mzazi bali ni yako na nafsi yako. Make peace with your inner self mwambie mtukutu ndani yako kwamba you are in control, baada ya hapo muombe mzazi wako msamaha ili uendelee na maisha yako.
 
Alikusaidia sana ungegeuka panyaroad kisha jambazi sugu
 
Sijawahi ingia lupangu. Japo lupango unaweza ingia hata kama huna kosa, ila namuomba Mungu aniepushe na hilo. Ee Mwenyezi Mungu ninusuru na hili jambo. [emoji120]
Ukiingia ndo nuksi?

Lupango ni jengo tu, unaweza kuingia na kutoka.

Si nuksi wala mkosi mzee
 
Alafu naona kama rayz haupo sawa kichwani akili zako bado ndogo
 
Back
Top Bottom