Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hata sisi kiukweli tumewahurumieni kwa miaka mingi hadi tumechoka .Naunga mkono hoja , mimi ni shabiki wa arsenal ! Tumechoshwa na mambo ya huyu mzee
Ikiwezekana hata kuwanunua waamuziMkakati wenyewe ni kuwapa kichapo gem zao zilizobaki
Sisi chelsea tulishaanza huu mkakati
Mjumbe hauwawi mkuu .Akipita arsenal kindakindaki anaweza kuomba mods waufute huu uzi si kwa maneno makali kama haya!
Aah siku hizi anauwawa ndugu yangu mambo yamebadilika sana kaa chonjoMjumbe hauwawi mkuu .
True !Nahisi kuna siri kubwa sana kwann asena Wenger hafukuzwi Emirates. Ngoja tumpe mda
Umesema vyema. Naunga mkono hoja.Kwanza niwape pole sana mashabiki wa Arsenal kwa kipigo cha mbwa mwizi aliyekunywa maziwa ya mtoto , binafsi sikustuka bali nilishangaa kwa Bayern kupata mabao machache kinyume cha matarajio .
Sasa ngoja niwape mchongo .
Bila kuizuia Arsenal chini ya Wenger kuingia ndani ya Top 4 , England itaendelea kufedheheshwa miaka nenda rudi , hii timu haina viwango vya Champions League , haina tofauti sana na Sunderland , Crystal Palace & the likes , sijui inaingiaje Top 4 ?
Ili kulinda heshima ya EPL na kulinda pia heshima ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE , ni lazima liundwe zengwe Arsenal isiwemo Top 4 .
Hii kitu inakuhusu mkuuAbsolutly 100%
Naumia sana.....sina ninachokipenda kama soccer lakin timu ninayoshabikia sasa!!!! vilaza kwelikweli au wenga anaakili za kibashitebashite?
only Almighty God........
Nimecheka sana !Hii kitu inakuhusu mkuu
kakubali huu Msimu wake wa mwishoNahisi kuna siri kubwa sana kwann asena Wenger hafukuzwi Emirates. Ngoja tumpe mda