Ufanyike mkakati maalum ili kuzuia Arsenal kuingia Top 4 EPL kuepusha aibu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwanza niwape pole sana mashabiki wa Arsenal kwa kipigo cha mbwa mwizi aliyekunywa maziwa ya mtoto , binafsi sikustuka bali nilishangaa kwa Bayern kupata mabao machache kinyume cha matarajio .

Sasa ngoja niwape mchongo .

Bila kuizuia Arsenal chini ya Wenger kuingia ndani ya Top 4 , England itaendelea kufedheheshwa miaka nenda rudi , hii timu haina viwango vya Champions League , haina tofauti sana na Sunderland , Crystal Palace & the likes , sijui inaingiaje Top 4 ?

Ili kulinda heshima ya EPL na kulinda pia heshima ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE , ni lazima liundwe zengwe Arsenal isiwemo Top 4 .
 
Wito - serikali ya uingereza imfutie kibali cha kufanya kazi Wenger ili uwe mkakati wa kumlazimisha kuondoka Arsenal .
 
Naunga mkono hoja. Players passion to compete at the highest level is no longer there. Wanakimbia kimbia tu uwanjani.
 
Absolutly 100%

Naumia sana.....sina ninachokipenda kama soccer lakin timu ninayoshabikia sasa!!!! vilaza kwelikweli au wenga anaakili za kibashitebashite?

only Almighty God........
 
Umesema vyema. Naunga mkono hoja.
 
Teh teh teh teh! Sasa si mnasema EPL ndo ligi ngumu? Inakuwaje muwe na wasiwasi na timu inayoingia kwenye nne bora ya ligi ngumu?
 
Absolutly 100%

Naumia sana.....sina ninachokipenda kama soccer lakin timu ninayoshabikia sasa!!!! vilaza kwelikweli au wenga anaakili za kibashitebashite?

only Almighty God........
Hii kitu inakuhusu mkuu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…