Ufanyike mkakati maalum ili kuzuia Arsenal kuingia Top 4 EPL kuepusha aibu

Ufanyike mkakati maalum ili kuzuia Arsenal kuingia Top 4 EPL kuepusha aibu

Hebu msome edo kumwembe hapo!!

80405a69341a0034f91205646193603f.jpg
 
89e2abafa5d35281e06b69f964326a4d.jpg


Mkuu, Kama utakuwa hujachukua maamuzi magumu, ujue Wenger amekulisha limbwata!
 
..hii timu (Arsenal) haina viwango vya Champions League , haina tofauti sana na Sunderland , Crystal Palace & the likes , sijui inaingiaje Top 4 ?.

Inaingia kwa kuwa team nyingine ndogo kama Liverpool, Tottenham and Everton zinashangaa mnooo. Liverpool na Tottenham wakikaza msuli kwenye mechi 11 hizi zilizobaki, Arsenal top 4 wataisoma kwa mbali tu. Very soon wataexchange positions na Man Utd.
 
Kwanza niwape pole sana mashabiki wa Arsenal kwa kipigo cha mbwa mwizi aliyekunywa maziwa ya mtoto , binafsi sikustuka bali nilishangaa kwa Bayern kupata mabao machache kinyume cha matarajio .

Sasa ngoja niwape mchongo .

Bila kuizuia Arsenal chini ya Wenger kuingia ndani ya Top 4 , England itaendelea kufedheheshwa miaka nenda rudi , hii timu haina viwango vya Champions League , haina tofauti sana na Sunderland , Crystal Palace & the likes , sijui inaingiaje Top 4 ?

Ili kulinda heshima ya EPL na kulinda pia heshima ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE , ni lazima liundwe zengwe Arsenal isiwemo Top 4 .
Tatizo timu za epl zote ni mafala
 
Mpaka muda huu mipango inaenda vizuri sana !
 
Inaingia kwa kuwa team nyingine ndogo kama Liverpool, Tottenham and Everton zinashangaa mnooo. Liverpool na Tottenham wakikaza msuli kwenye mechi 11 hizi zilizobaki, Arsenal top 4 wataisoma kwa mbali tu. Very soon wataexchange positions na Man Utd.
Mkuu ushawahi kuwa mpiga ramli ?
 
Inaingia kwa kuwa team nyingine ndogo kama Liverpool, Tottenham and Everton zinashangaa mnooo. Liverpool na Tottenham wakikaza msuli kwenye mechi 11 hizi zilizobaki, Arsenal top 4 wataisoma kwa mbali tu. Very soon wataexchange positions na Man Utd.
Swadakta .
 
Back
Top Bottom