Ufanyike mkakati maalum ili kuzuia Arsenal kuingia Top 4 EPL kuepusha aibu



Mkuu, Kama utakuwa hujachukua maamuzi magumu, ujue Wenger amekulisha limbwata!
 
..hii timu (Arsenal) haina viwango vya Champions League , haina tofauti sana na Sunderland , Crystal Palace & the likes , sijui inaingiaje Top 4 ?.

Inaingia kwa kuwa team nyingine ndogo kama Liverpool, Tottenham and Everton zinashangaa mnooo. Liverpool na Tottenham wakikaza msuli kwenye mechi 11 hizi zilizobaki, Arsenal top 4 wataisoma kwa mbali tu. Very soon wataexchange positions na Man Utd.
 
Tatizo timu za epl zote ni mafala
 
Mpaka muda huu mipango inaenda vizuri sana !
 
Inaingia kwa kuwa team nyingine ndogo kama Liverpool, Tottenham and Everton zinashangaa mnooo. Liverpool na Tottenham wakikaza msuli kwenye mechi 11 hizi zilizobaki, Arsenal top 4 wataisoma kwa mbali tu. Very soon wataexchange positions na Man Utd.
Mkuu ushawahi kuwa mpiga ramli ?
 
Asanteni waingereza kwa kunielewa .
 
Inaingia kwa kuwa team nyingine ndogo kama Liverpool, Tottenham and Everton zinashangaa mnooo. Liverpool na Tottenham wakikaza msuli kwenye mechi 11 hizi zilizobaki, Arsenal top 4 wataisoma kwa mbali tu. Very soon wataexchange positions na Man Utd.
Swadakta .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…