Ufaransa ilifanya majaribio ya mabomu 17 ya nyuklia na silaha nyinginezo za nyuklia huko Algeria ilipokuwa ikiitawala, mpaka leo athari zaendelea

Ufaransa ilifanya majaribio ya mabomu 17 ya nyuklia na silaha nyinginezo za nyuklia huko Algeria ilipokuwa ikiitawala, mpaka leo athari zaendelea

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Wafaransa washenzi sana, walipoitawala Mali waliamua kufanya majaribio yao ya nyuklia kwenye ardhi ya Algeria miaka ya 1960s ili athari zitakazotokana na nyuklia ziwaathiri waafrika tu.

Yaani majaribio wafanye kwa faida ya Ufaransa, lakini madhila ya miaka na miaka hadi kesho yaendelee kuwaandama waafrika waishio Algeria.

Halafu utasikia waFaransa wa Ununio wanakuja hapa kutokwa na povu wakiwatetea waFaransa wenzao wa Ufaransa waliofanya ushenzi huo.
===========

SmartSelect_20220623-100852_Chrome.jpg
 
Mkuu si wanaleta misaada kwenye serikali zetu lemavu za kiafrika lakini. Sasahivi wanataka kufanya majaribio mengine Ngorongoro na Loliondo ndio maana tunawaondoa wamasai.



Kwioooo [emoji239][emoji239][emoji239]
 
Mtu mzima hajambi kaka.
40% ya bajeti ya nchi yako ni mikopo na misaada ya westerns. hata wafanye majaribio ya kulipua Ikulu za Africa ni sawa tu.
Cha msingi watupe taarifa tu sie tupo tayari baba. Ubongo ushaoza huu, we ulisha sikia hata hao waalgeria wakilaani hayo majaribio.
tunawaongelea shits mitandaoni lakin tunawafata uwani kuwaomba radhi na kuwapiga vizinga.
kataa uone.
 
Tatizo kubwa la Waafrika hasa Watanzania, tunajua kwamba Mzungu ni mtu mmoja mwenye huruma sana nasi na hakuwahi kuwa mtesi kama tunavyoamini ushenzi wa Muarabu. Hatujui kabisa kuhusu mauaji ya watumwa yaliyofanywa na wazungu kama yale ya Zong massacre au walichofanyiwa jirani zetu Congo na King Leopord II of Belgium! Ni kweli hatujui kuhusu "The door of no return" kule Ghana?! Au tunajitoa akili tu.

Naamini kabisa tukimpima mtu kwa maovu yake basi mzungu ni shetani aliyeandikwa kwenye vitabu vyote duniani.
 
Mtu mzima hajambi kaka.
40% ya bajeti ya nchi yako ni mikopo na misaada ya westerns. hata wafanye majaribio ya kulipua Ikulu za Africa ni sawa tu.
Cha msingi watupe taarifa tu sie tupo tayari baba. Ubongo ushaoza huu, we ulisha sikia hata hao waalgeria wakilaani hayo majaribio.
tunawaongelea shits mitandaoni lakin tunawafata uwani kuwaomba radhi na kuwapiga vizinga.
kataa uone.
Misaada kwa maneno tu! Hatutarudisha na riba juu? Hatupewi kwa masharti? Unafikiri kati yao na sisi nani mwenye kupata faida zaidi? Unafikiri ni kwanini westerners wanatumia nguvu kubwa sana kutuaminisha (Waafrika) kwamba mikopo kutoka Asia ni hatari kwetu na hatufai kuichukua? This is business wanagombania soko mnunuzi ndio sisi.

Leo hii nipewe mkopo bank with interest, alafu niambiwe huu ni msaada!! Wakati hata nikipoteza kazi au nikishindwa kurudisha nyumba yangu inauzwa.
 
Back
Top Bottom