Ufaransa: Mwanamke mmoja ametapeliwa mamilioni ya pesa baada kumuacha mume ili aoane na mtu aliejifanya kama Brad Pitt mtandaoni

Ufaransa: Mwanamke mmoja ametapeliwa mamilioni ya pesa baada kumuacha mume ili aoane na mtu aliejifanya kama Brad Pitt mtandaoni

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
20250114_205112.jpg

20250114_205747.jpg


Mwanamke mmoja Mfaransa alitapeliwa zaidi ya $800K na mtu aliyejifanya kuwa Brad Pitt. Walikutana na tapeli huyo Instagram na kumshawishi kwa video na picha zilizohaririwa na kuzalishwa na AI

Tapeli huyo alimshawishi kuwa akaunti zake za benki zilifungwa kwa sababu ya talaka yake na Angelina Jolie na kwamba alihitaji pesa kwa ajili ya upasuaji wa figo.

Alikuja kugundua kuwa ilikuwa ni pitt wa bandia wakati alipuona Brad Pitt kwenye habari na mpenzi wake mpya.
 
View attachment 3201914
View attachment 3201916

Mwanamke mmoja Mfaransa alitapeliwa zaidi ya $800K na mtu aliyejifanya kuwa Brad Pitt. Walikutana na tapeli huyo Instagram na kumshawishi kwa video na picha zilizohaririwa na kuzalishwa na AI

Tapeli huyo alimshawishi kuwa akaunti zake za benki zilifungwa kwa sababu ya talaka yake na Angelina Jolie na kwamba alihitaji pesa kwa ajili ya upasuaji wa figo.

Alikuja kugundua kuwa ilikuwa ni pitt wa bandia wakati alipuona Brad Pitt kwenye habari na mpenzi wake mpya.
Huyu biboe mjinga kweli, inaonyesha grass ins not green on the other side ( mistake ambayo wanawake wengi wanafanya, but wana find out too late)
 
catfishing.

mchezo mbaya sana.

sema kuna huyo prince wa nigeria alitumia huu mtindo, aliingia kwenye mapenzi na mwanamke mmarekani kupitia mtandao, akawa anagoma kumtumia huyo ke picha zake

huyo ke akadhani ni catfish akawapa watu wampeleleze wakagundua kweli ni nigerian prince
 
View attachment 3201914
View attachment 3201916

Mwanamke mmoja Mfaransa alitapeliwa zaidi ya $800K na mtu aliyejifanya kuwa Brad Pitt. Walikutana na tapeli huyo Instagram na kumshawishi kwa video na picha zilizohaririwa na kuzalishwa na AI

Tapeli huyo alimshawishi kuwa akaunti zake za benki zilifungwa kwa sababu ya talaka yake na Angelina Jolie na kwamba alihitaji pesa kwa ajili ya upasuaji wa figo.

Alikuja kugundua kuwa ilikuwa ni pitt wa bandia wakati alipuona Brad Pitt kwenye habari na mpenzi wake mpya.
Kazi ipo 😅😅😅
 
Back
Top Bottom