Ufaransa nayo yaandaa mtego kwa wahamiaji haramu

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
MTEGO KWA WAHAMIAJI HARAMU UFARANSA


Serikali ya Ufaransa imeandaa mtego maalum wa kukamata wahamiaji haramu kwa kuning'niza watoto wanasesere kwenye milingoti ya magorofa ili wahamaaji hao wajitokeze kwa minajili ya 'kuwanasua watoto hao' na KUDAKWA KIRAHISI

Yasemekana wahamiaji wengi haramu na hasa vijana wameanza mitindo ya kupita majiani huku wanaangalia juu ili waone kama kuna 'mtoto' wa kumuopoa na Serikali nayo imekuja kivingine kwa tego hilo hilo

Mtego huu unakuja baada ya kugundulika njama za wahamiaji haramu ambao wameamua 'KUTENGENEZA MATUKIO' ya kuokoa watoto ili nao WAFIKIRIWE Kama Aboubakar
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahahahahaaaa

ukiwa hauko kwenu uta tritiwa kwa dhihaka kama kinyago cha mpapule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…